Ndugu wanajf, kuna jambo ambalo linaniumiza sana kichwa! Hivi kuna umuhmu wowote kuhakikisha unafanya sex na mpenzi wako kabla ya ndoa? Nimefuatilia mijadala mingi ya vijana wa kiume wakisema kuwa ukifanya sex na binti unayempenda at least unajiwekea uhakika wa kuwa naye. Jf members naomba mtizamo wenu juu ya hili.