Kubota
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 532
- 1,089
Vitunguu machungu yake ni mtaji si chini ya milioni 2 kwa ekari moja na ukitoa zigo kubwa la ekari zaidi ya 100 ukataka usubiri bei iwe nzuri hifadhi yake ni kasheshe, lazima ujenge chanja zake na kwa eneo lako eka 200 ni parefu hapo, hivyo jitazame urefu wa mtaji wako otherwise kitunguu kinalipa na Kilosa ni kwake.