kinenekejo
Senior Member
- Oct 31, 2011
- 176
- 51
acha unafiki. wewe umeomba ushauri in public, umepewa, sasa kuficha ficha ni biashara gani unaona dili? una roho ya ubinafsi
Internet cafe haiwezi kukulipa siku hizi watu wanatumia simu zao ku browse wewe, na wenye uwezo wana laptop zao ma modem hivyo biashara hiyo unaweza kupata kasara tu.
....Nikopeshe shilingi Milioni Moja na baada ya Mwezi ninakurudishia Milioni Moja na Laki Tatu. ukifanya hivyo kwa watu wa Nne tu unakuwa kila mwezi una Shilingi Milioni Moja na Laki Mbili ya Matumizi yako bila Kugusa Mtaji Wako Wakati Ukiendelea Kutafakari cha Kufanya. NiPm kama Upo tayari.