Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Hii imetokea Dar. Dada mmoja amekuwa akiuguliwa na mume wake ugonjwa ambao ilibidi afanyiwe operation (medium). Pamoja na kwamba operation ilikuwa successful mume aligundulika kuwa ana ngoma (HIV+), ilibidi na huyo mdada ashauriwa na madaktari kupima, akakutwa negative.
Amemuendea spouse wangu kumuomba ushauri, kwamba aendelee na hiyo ndoa au aivunge. kama akiendelea nayo maana yake mahusiano ya mke na mume yataendela na kama hatakubali hayo mahusiano then ndoa iko mashakani. Spouse wangu ameshindwa kumshauri na mimi pia nimeshindwa.
Wana JF tusaidieni mawazo namna ya kumshauri huyu dada,
Amemuendea spouse wangu kumuomba ushauri, kwamba aendelee na hiyo ndoa au aivunge. kama akiendelea nayo maana yake mahusiano ya mke na mume yataendela na kama hatakubali hayo mahusiano then ndoa iko mashakani. Spouse wangu ameshindwa kumshauri na mimi pia nimeshindwa.
Wana JF tusaidieni mawazo namna ya kumshauri huyu dada,