kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
hata jamaa amemshauri waende bomani pia ila bint anadai atatengwa coz kwenye uislam hawaitambui ndoa ya boman na wazazi walishamtisha kuwa akijaribu kufunga ndoa ya kanisani au bomani basi asiwatambue,bint nae kachanganyikiwa ndoa anaitaka wazazi anawataka
vipi uchakachuzi walishaufanya, kama ndiyo je uislamu unaruhusu