Guns and Roses
New Member
- Aug 15, 2011
- 2
- 0
Habari zenu?
Dada yangu anahitaji ushauri wa haraka kabla hajapata shinikizo la damu.
Dada anahisi shemeji hampi kipaumbele kama yeye anavyo mjali . Kwa kweli dada anampenda sana huyo bwana,
na shemeji naye anakiri kumpenda sana dada lakini inaonekana kuwa ni maneno mengi ya wanaume kuliko ukweli.
Juzi kati dada alimpa mitihani midogo kumpima kujua kama kweli ana mapenzi ya dhati. Shemeji bila kujua akarukia kwenye hiyo mitego ikamnasa.
Mtego mmojawapo ni kuwa badala watoke wote kwenda kwenye sherehe ambayo walialikwa, dada akamwambia shem aende tu mwenyewe, na shem akafurahia sana hiyo outing ya peke yake kitu ambacho dada alikitafsiri vingine.Shem hakujaribu hata chembe kumsihi dada waongozane kitu ambacho siku za nyuma ilikuwa haijawahi kutokea. Kwa kifupi dada anataka kufanya maamuzi magumu ya kuachana naye maana anahisi kuna mtu wa pembeni anayemzuzua shemeji.
Waungwana nyie mnaonaje hili?
Dada yangu anahitaji ushauri wa haraka kabla hajapata shinikizo la damu.
Dada anahisi shemeji hampi kipaumbele kama yeye anavyo mjali . Kwa kweli dada anampenda sana huyo bwana,
na shemeji naye anakiri kumpenda sana dada lakini inaonekana kuwa ni maneno mengi ya wanaume kuliko ukweli.
Juzi kati dada alimpa mitihani midogo kumpima kujua kama kweli ana mapenzi ya dhati. Shemeji bila kujua akarukia kwenye hiyo mitego ikamnasa.
Mtego mmojawapo ni kuwa badala watoke wote kwenda kwenye sherehe ambayo walialikwa, dada akamwambia shem aende tu mwenyewe, na shem akafurahia sana hiyo outing ya peke yake kitu ambacho dada alikitafsiri vingine.Shem hakujaribu hata chembe kumsihi dada waongozane kitu ambacho siku za nyuma ilikuwa haijawahi kutokea. Kwa kifupi dada anataka kufanya maamuzi magumu ya kuachana naye maana anahisi kuna mtu wa pembeni anayemzuzua shemeji.
Waungwana nyie mnaonaje hili?