Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Nimechoka na vituko vyake,ananijbu dharau,anapokea simu akijsikia,txts hazijibiwi kwa wakati na mambo mengne mengi ya mauzi ambayo nikiyaandka hapa mnaweza kunihurumia,eti sababu ya yote haya ni kwamba nliondoka ghafla bila kumuaga,sa hzi tuko mikoa tofaut na ninahis ana kidume kingne tayar knamzuzua.naomben mnipe maneno yenye busara yatakayo tufanya wote tuachane kwa aman...natanguliza shukrani.