mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Hi wanajf, mie ni kati ya waajiri ambaye 2 weeks ago hivi nilitangaza kazi zoom, na ninavyojua pia humu zinakuwa posted too.yaani nimeamua tu kuwasaidia wadogo zangu au watz wenzangu kuhusu suala la kuomba kazi, yaani nimeshangaa sana na yafuatayo kwa waombaji hao ambapo nilipokea 500 applicants,
1. Yaani mtu katika kale kabox kakuandika email haandiki kitu, ndo kwanza anaatach cv, certificates etc bila hata ya salutation/hiyo ni mbaya kwasababau inaonyesha uko poor saana kwenye communication, pia mwingine akiandika hata huelewi au mwingine anaandika cv attached tu, mwingine anaandika kiswahili wakat tangazo lilikuwa la kiingereza, mwingine unaweza hadi kughafirika ukisoma anakuwa kama mtoto wa mtaani kwa anavyoandika eti hi guys etc yaani siwezi kumaliza kuviandika vyote hapa.
2. Mwingine anafoward emails...yaani chukulia mfano jana yake aliapply NBC leo anaapply NMB anafoward email ile ile ya NBC, sasa unashangaa hii barua ni ya huku ama vp,
3. Mwingine anaomba kazi isiyo mhusu mfano umetangaza kazi ya uhasibu, yeye amesomea community development anaiomba hiyo kazi ya uhasibu jamani hapo inakuwaje?? Mwingine kazi inataka ujue program fulani ya computer ambayo ndo unakuwa unaitumia katika kazi/yaani ni must na katika tangazo imestate hivyo, lakini yeye haijui kabisa hiyo program na hiyo program hadi uimaste inaweza kuchukua miezi 6, sasa jamani hata kama unamchukua utasubiri asome kwanza ndo aanze hiyo kazi???au itabidi utafute msaidizi wake??
4.Mwingine anaattach cheti cha kifo cha mzazi! jamani niliogopa sana mhh
ni mengi ila ni hayo tu kwasasa, ngoja nifanye kazi,
rgds
1. Yaani mtu katika kale kabox kakuandika email haandiki kitu, ndo kwanza anaatach cv, certificates etc bila hata ya salutation/hiyo ni mbaya kwasababau inaonyesha uko poor saana kwenye communication, pia mwingine akiandika hata huelewi au mwingine anaandika cv attached tu, mwingine anaandika kiswahili wakat tangazo lilikuwa la kiingereza, mwingine unaweza hadi kughafirika ukisoma anakuwa kama mtoto wa mtaani kwa anavyoandika eti hi guys etc yaani siwezi kumaliza kuviandika vyote hapa.
2. Mwingine anafoward emails...yaani chukulia mfano jana yake aliapply NBC leo anaapply NMB anafoward email ile ile ya NBC, sasa unashangaa hii barua ni ya huku ama vp,
3. Mwingine anaomba kazi isiyo mhusu mfano umetangaza kazi ya uhasibu, yeye amesomea community development anaiomba hiyo kazi ya uhasibu jamani hapo inakuwaje?? Mwingine kazi inataka ujue program fulani ya computer ambayo ndo unakuwa unaitumia katika kazi/yaani ni must na katika tangazo imestate hivyo, lakini yeye haijui kabisa hiyo program na hiyo program hadi uimaste inaweza kuchukua miezi 6, sasa jamani hata kama unamchukua utasubiri asome kwanza ndo aanze hiyo kazi???au itabidi utafute msaidizi wake??
4.Mwingine anaattach cheti cha kifo cha mzazi! jamani niliogopa sana mhh
ni mengi ila ni hayo tu kwasasa, ngoja nifanye kazi,
rgds