ushauri wa buree kwa applicants

mama dunia

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
420
84
Hi wanajf, mie ni kati ya waajiri ambaye 2 weeks ago hivi nilitangaza kazi zoom, na ninavyojua pia humu zinakuwa posted too.yaani nimeamua tu kuwasaidia wadogo zangu au watz wenzangu kuhusu suala la kuomba kazi, yaani nimeshangaa sana na yafuatayo kwa waombaji hao ambapo nilipokea 500 applicants,

1. Yaani mtu katika kale kabox kakuandika email haandiki kitu, ndo kwanza anaatach cv, certificates etc bila hata ya salutation/hiyo ni mbaya kwasababau inaonyesha uko poor saana kwenye communication, pia mwingine akiandika hata huelewi au mwingine anaandika cv attached tu, mwingine anaandika kiswahili wakat tangazo lilikuwa la kiingereza, mwingine unaweza hadi kughafirika ukisoma anakuwa kama mtoto wa mtaani kwa anavyoandika eti hi guys etc yaani siwezi kumaliza kuviandika vyote hapa.

2. Mwingine anafoward emails...yaani chukulia mfano jana yake aliapply NBC leo anaapply NMB anafoward email ile ile ya NBC, sasa unashangaa hii barua ni ya huku ama vp,

3. Mwingine anaomba kazi isiyo mhusu mfano umetangaza kazi ya uhasibu, yeye amesomea community development anaiomba hiyo kazi ya uhasibu jamani hapo inakuwaje?? Mwingine kazi inataka ujue program fulani ya computer ambayo ndo unakuwa unaitumia katika kazi/yaani ni must na katika tangazo imestate hivyo, lakini yeye haijui kabisa hiyo program na hiyo program hadi uimaste inaweza kuchukua miezi 6, sasa jamani hata kama unamchukua utasubiri asome kwanza ndo aanze hiyo kazi???au itabidi utafute msaidizi wake??

4.Mwingine anaattach cheti cha kifo cha mzazi! jamani niliogopa sana mhh

ni mengi ila ni hayo tu kwasasa, ngoja nifanye kazi,

rgds
 
hiyo ya 4 umetia chumvi live

Sio chumvi kaka. Huenda cheti cha kifo cha mzazi ambacho ni scanned na vyeti vingine vya shule viko ktk folder moja kwenye flsh disk, sasa katika haraka haraka za ku attach unakuta mwombaji ameattach cheti sicho. Huwa inatokea sana, usishangae. Tulio kazini muda mrefu tunalifahamu hilo.
 
Hi wanajf, mie ni kati ya waajiri ambaye 2 weeks ago hivi nilitangaza kazi zoom, na ninavyojua pia humu zinakuwa posted too.yaani nimeamua tu kuwasaidia wadogo zangu au watz wenzangu kuhusu suala la kuomba kazi, yaani nimeshangaa sana na yafuatayo kwa waombaji hao ambapo nilipokea 500 applicants,

1. Yaani mtu katika kale kabox kakuandika email haandiki kitu, ndo kwanza anaatach cv, certificates etc bila hata ya salutation/hiyo ni mbaya kwasababau inaonyesha uko poor saana kwenye communication, pia mwingine akiandika hata huelewi au mwingine anaandika cv attached tu, mwingine anaandika kiswahili wakat tangazo lilikuwa la kiingereza, mwingine unaweza hadi kughafirika ukisoma anakuwa kama mtoto wa mtaani kwa anavyoandika eti hi guys etc yaani siwezi kumaliza kuviandika vyote hapa.

2. Mwingine anafoward emails...yaani chukulia mfano jana yake aliapply NBC leo anaapply NMB anafoward email ile ile ya NBC, sasa unashangaa hii barua ni ya huku ama vp,

3. Mwingine anaomba kazi isiyo mhusu mfano umetangaza kazi ya uhasibu, yeye amesomea community development anaiomba hiyo kazi ya uhasibu jamani hapo inakuwaje?? Mwingine kazi inataka ujue program fulani ya computer ambayo ndo unakuwa unaitumia katika kazi/yaani ni must na katika tangazo imestate hivyo, lakini yeye haijui kabisa hiyo program na hiyo program hadi uimaste inaweza kuchukua miezi 6, sasa jamani hata kama unamchukua utasubiri asome kwanza ndo aanze hiyo kazi???au itabidi utafute msaidizi wake??

4.Mwingine anaattach cheti cha kifo cha mzazi! jamani niliogopa sana mhh

ni mengi ila ni hayo tu kwasasa, ngoja nifanye kazi,

rgds
Hiyo namba ya mwisho.
Huyo aliweka ili umwonee huruma kwa kuwa ana mzazi mmoja.lol
 
Ni pupa ya kuitaka hiyo ajira.
Watu hawana kazi na wanategemewa ni familia zao sasa inapotokea tu mtu ana haha kama nyuki aliyeona uwa zuri.
 
Bora umesema, kwani hata jinsi ya kupangilia CV watu wengi hawajui...ni vizuri kujirekebisha kwani siku moja nilikuwa na Mkurugenzi CV zilkuwa nyingi sana, anachambua aliangalia sana cover letter na CV baasi,
kwa hiyo kuna watu wengi kama siyo wengi wetu KUNA MAMBO TUNAJITAHIDI KUYAFAHAMU SANA LAKINI HAYANA MSAADA KATIKA MAISHA YETU, Kwa mfano haya yafuatayo:
1.Wewe ni mwanafunzi, mfanyakazi n.k umeamua kuingia gharama ya kununua simu ya bei ya juu ili uweze kujiunga na facebook, twitter n.k.....na kuchati kila siku, je huoni gharama isiyo ya lazima? unapoteza muda, pesa, lakini hakuna kipya kinachoweza kubadili maisha yako,

2.lakini vipi kama ungeweza kutumia simu hiyo kuangalia vitu vya msingi, kwa mfano how to prepare reports, CV..n.k
3.Vipi ukitumia Simu kwa ajili ya Deal za kukuongezea kipato kwa mfano unaweka vocha unauliza soko la bidhaa fulani eneo lingine? kuliko kutumia headphone masaa yoote eti wewe unamsikiliza mwanamziki fulani?
4.Vipi ungetumia muda huu kama mwanafunzi ukasoma kuliko kuchati ukiwa darasani wakati lecture/mwalimu anafundisha? ulishajiuliza ni Future itakuwaje?

CHEZEA UJANA FAINALI UZEENI.........

TUWE NA DESTURI ZA KUJIFUNZA VITU VYA MUHIMU, TUSIENDEKEZE STAREHE SANA TAIFA LITABAKI NYUMA
 

Sio chumvi kaka. Huenda cheti cha kifo cha mzazi ambacho ni scanned na vyeti vingine vya shule viko ktk folder moja kwenye flsh disk, sasa katika haraka haraka za ku attach unakuta mwombaji ameattach cheti sicho. Huwa inatokea sana, usishangae. Tulio kazini muda mrefu tunalifahamu hilo.
inshaalah,point taken
 
Hii story inavutia japo ipo kimbea ila inafundishajeeeeeee. Mi mi niliwahi kutuma application siku moja bila hata kuedit
title ya kazi mf Ref. ................................ bila kubadili nikatuma hivyo hivyo baadae nikawa naperuzz ile appl nikakuta ni commed japo nilichukua, niliona aibu na nilijisikitikia sana mana niligindua nipo raffff na tangu cku hiyo bora nicheleweshe ila nitoe kitu kizur
 
Thanks for constructive angalizo mdau mwajiri. Tutazingatia wakati tunaendelea kuapply. Mi binafsi naomba nijuze kama waweza nipatia ajira nimesoma Tax Administration hapa IFM
 
Bora umesema, kwani hata jinsi ya kupangilia CV watu wengi hawajui...ni vizuri kujirekebisha kwani siku moja nilikuwa na Mkurugenzi CV zilkuwa nyingi sana, anachambua aliangalia sana cover letter na CV baasi,
kwa hiyo kuna watu wengi kama siyo wengi wetu KUNA MAMBO TUNAJITAHIDI KUYAFAHAMU SANA LAKINI HAYANA MSAADA KATIKA MAISHA YETU, Kwa mfano haya yafuatayo:
1.Wewe ni mwanafunzi, mfanyakazi n.k umeamua kuingia gharama ya kununua simu ya bei ya juu ili uweze kujiunga na facebook, twitter n.k.....na kuchati kila siku, je huoni gharama isiyo ya lazima? unapoteza muda, pesa, lakini hakuna kipya kinachoweza kubadili maisha yako,

2.lakini vipi kama ungeweza kutumia simu hiyo kuangalia vitu vya msingi, kwa mfano how to prepare reports, CV..n.k
3.Vipi ukitumia Simu kwa ajili ya Deal za kukuongezea kipato kwa mfano unaweka vocha unauliza soko la bidhaa fulani eneo lingine? kuliko kutumia headphone masaa yoote eti wewe unamsikiliza mwanamziki fulani?
4.Vipi ungetumia muda huu kama mwanafunzi ukasoma kuliko kuchati ukiwa darasani wakati lecture/mwalimu anafundisha? ulishajiuliza ni Future itakuwaje?

CHEZEA UJANA FAINALI UZEENI.........

TUWE NA DESTURI ZA KUJIFUNZA VITU VYA MUHIMU, TUSIENDEKEZE STAREHE SANA TAIFA LITABAKI NYUMA

fainali uzeeni umenifurahisha hapo huo msemo naupendaje
 
COMMUNICATION SKILLZ, moja ya masomo wanavyuo wengi wanayadharau, pia hatutumii internet ipasavyo ..good example, nilikua resign mahali nikawa sina uzoefu wa kudraft resignation letter, nikaingia google. Nilipata sample nyingi na zipo professional..GUYS Kama haujui kitu nenda GOOGLE ina majibu yote
 
Hii story inavutia japo ipo kimbea ila inafundishajeeeeeee. Mi mi niliwahi kutuma application siku moja bila hata kuedit
title ya kazi mf Ref. ................................ bila kubadili nikatuma hivyo hivyo baadae nikawa naperuzz ile appl nikakuta ni commed japo nilichukua, niliona aibu na nilijisikitikia sana mana niligindua nipo raffff na tangu cku hiyo bora nicheleweshe ila nitoe kitu kizur

mkuu ni kweli kuna nafasi niliomba sehemu,nilivyoipitia ile aplicatio na cv,mhh hata ningekuwa mimi ndio nachambua cv.nisingeichukua ile cv yangu.mara nyingi ni uharaka na pupa ndio sababu.
 
CHEZEA UJANA FAINALI UZEENI.........

TUWE NA DESTURI ZA KUJIFUNZA VITU VYA MUHIMU, TUSIENDEKEZE STAREHE SANA TAIFA LITABAKI NYUMA[/QUOTE]

ndugu yangu von mo asante kwa ushauri wako mimi ni aplicants lakini nimekuwa makini sana na mambo kama hayo kazi zangu ni smart na ninaendelea kujifunza kupitia jf. Siku moja mambo yakiwa sawa nitatoa shukrn kwa wadau na mazwazo
 
Back
Top Bottom