Ushauri wa bure

Kabewa

Senior Member
Oct 30, 2009
136
56
Nawashauri wapambanaji wa ufisadi walioangushwa kwenye kura za maoni wajiunge na vyama vingine na wakagombee ubunge kwenye majimbo ambayo wagombea wake ni utata
mfano:

Selelii akagombee igunga kwa tiketi ya chadema
willam shelukindo nyamagana tiketi chadema
aloyce kimaro tarime tiketi .............
Charles mwera..............................
 
Back
Top Bottom