TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,282
Wakuu jana nimesikitika kuona jinsi wimbo wetu wa taifa ulivyoimbwa na kijana pale taifa tena mbele ya wanajeshi wa vyeo mbalimbali, makamanda na amiri jeshi mkuu... nilisikitika zaidi nilipoona brass bendi yetu pia
Mimi naomba kushauri waandaaji wa hizi shughuli... acheni vijana wasanii waimbe kwenye shughuli za kisanaa zaidi kama football, boxing, matamasha nk. halafu wapeni heshima zao wapiganaji wwetu na makambanda wa kitaifa
Nina imani hata huko marekani na ulaya [tunapoiga mambo haya]; kuna sehemu wanaachia vyombo husika na si wasanii tu; kiukweli nimesikitishwa jana kukosa mwimbo wetu wa taifa niliozoea with brass band
nothing personal, ila nimehisi kama tutaanza ku-erode kila cha heshima Fulani na kuingiza usanii everywhere sasa
Mimi naomba kushauri waandaaji wa hizi shughuli... acheni vijana wasanii waimbe kwenye shughuli za kisanaa zaidi kama football, boxing, matamasha nk. halafu wapeni heshima zao wapiganaji wwetu na makambanda wa kitaifa
Nina imani hata huko marekani na ulaya [tunapoiga mambo haya]; kuna sehemu wanaachia vyombo husika na si wasanii tu; kiukweli nimesikitishwa jana kukosa mwimbo wetu wa taifa niliozoea with brass band
nothing personal, ila nimehisi kama tutaanza ku-erode kila cha heshima Fulani na kuingiza usanii everywhere sasa