Ushauri wa Bure: Wamiliki wa Radio Clouds FM ya Dar es salaam

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Habari yako msomaji!

KWA WAMILIKI WA RADIO CLOUDS FM.

Mimi Radio Producer napenda kuandika ushauri wangu kwako/kwenu wamiliki wa clouds Fm. Ni ushauri tu ukiupenda karibu, ukiona kawaida hakuna shida, silipwi wala sikulipi!

1. Nawapongeza sana Clouds fm kwa kujipanua na kusikika sehemu nyingi za nchi yetu ya Tanzania. Usikivu wenu ni mzuri kabisa, na mna kitu unique kabisa katika muonekano wa radio yenu. Nawapongeza sana kwa hili kwa sababu kila tunapotune radio hii huwa tunaipata bila shida kabisa! Hongereni pia kwa kujitahidi kutafuta wafanyakazi wenye uwezo wa kazi na ubunifu wa hali ya juu, ukweli wapo wafanyakazi katika radio yenu wanafanyakazi vizuri sana!

2. Pili napenda kuzungumzia vitu hivi (Format, Goal and Targeted Audience) ya radio yenu. Kwa harakahara bado natatizwa sana na format ya radio yenu, je ni music format au? hapa bado napata shida kulingana na mpangilio wa vipindi! Ninachoshauri hapa jaribuni kuiangalia format na muitumie kuprogram vipindi vyenu itasaidia sana. Goal yenu ni ipi hasa? je, mnaitumia kama ipasavyo? Tatu walengwa wenu (Targeted audience) ni akina nani? Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu wakati mwingine nimeambiwa walengwa ni Vijana. Kama ni vijana je. format mnayotumia inapendwa na vijana? kama ni music format inaweza kuwa yes, lakini je goal yenu inafika sawasawa? (HAPA NDIO RADIO CLOUDS INAPOSABABISHA MAMBO YASOMEKE TOFAUTI KWA WASIKILIZAJI) kwanini??

3. Kwa sababu 1. Lugha- mara nyingi lugha inayotumika hasa kiswahili cha wadada hao na wakaka hao hakiendani na na wala hakiwezi kusimamia goal iende sawa. Kama mna malengo mfano ya kuielimisha vijana, unadhani kwa hali ya lugha inayotumika unajenga nini? Uharibifu mkubwa wa utamaduni wa mtanzania kwa matumizi mabaya ya lugha ya kiswahili. Nyinyi kama chombo cha habari mlitakiwa kuwa mstari wa mbele kuwafundisha vijana kutumia lugha vizuri zaidi ili tuwe na taifa lenye nguvu na utamaduni wa kupendeza!

4. Kwasababu 2. Uwezo wa baadhi ya watangazji. Kuna baadhi ya watangazaji wanashindwa kuitendea haki clouds fm kwa kushusha sifa na maadili ya radio. Si unajua mtangazaji akiharibu ameharibu jina la radio husika?? Wengine hawana uwezo mkubwa na wa kufikiri lakini hao ndio wanakuwa wategemewa wa kuchangia mijadala mbalimbali matokeo yake wanachangia kwa hisia zao wenyewe, ni hatari sana! Narudia tena ni hatari sana kwa mtangazaji kuruhusu hisia zake anapokuwa kwenye kipindi.

5. Kwa sababu 3. Vipindi vyenu- Jaribuni kuviangalia vipindi vyenu upya! vyaweza kuwa vizuri sana lakini format yake ndiyo inaharibu! angalieni maadili ya mtanzania pia! Hasa kwenye hivyo vipindi vya mapenzi na mahusiano jaribuni kuviprogram upya vikae katika hali ya kufundisha na kuelimisha jamii siyo tu kuburudisha! Tumieni lugha nzuri kwenye vipindi hivi ili atu waone userious wa kipindi. Wekeni vitu vizuri kwa walengwa, isije kuwa ka kuwa walengwa ni vijana kwa hiyo muwaandalie vipindi vya mtindo huo ili wafurahi, hiyo itakuwa ni hasara! Hata kama vijana ndio walengwa nia mathubuti ni kwamba wao wajifunze kutoka radio yenu siyo wajifunze lugha mbaya, matusi na mambo ya kiajabuajabu!

6. Kwa sababu 4. Balance- hata kama walengwa ni vijana waangalieni hata bonus audience! Kuweni na balance wapendwa media zinawatu wengi hata kama ni wa namna tofauti ila wote hujumuika pamoja na kusikiliza au kutazama! Sasa mmeandaa kipindi cha mapenzi kwa ajili ya kijana, watangazaji wenyewe tu wanaonekana wamelewa na mahaba unadhani kipindi hiki kitaangaliwa ma familia yote? kitamfundisha kijana au kumchochea kwenye hisia mbaya?

7. Mwisho, angalieni sana watangazaji wenye majina, wasifanyekazi kwa kuangalia majina yao! Wanaharibu lazima wafuate utaratibu kwa kituo husika! mtapata pesa sana lakini kama maadili yanapotea pesa hiyo haitawasaidia kitu kwa sababu mtakuwa manapotosha jamii! Jaribuni kuuangalia uongozi wenu hasa PROGRAM MANAGER! huyu bwana angekuwa serious hayo yote yasingetokea! Hapo ndio ikulu, kama PM yuko vizuri mambo yote yatakuwa safi tu upande wa programming!

Acheni kutumia lugha mbaya/mtaani/chafu/uchochezi, acheni kutumia hisia zenu mnapokuwa hewani, angalieni format yenu, goal yenu na targeted audience wenu, angalieni uwezo wa watangazaji wenu hakika mtajenga taifa!

Asanteni kwa kusoma.
Radio Producer
UK.
 
That is good piece of advice. I still believe that Clouds fm inapendwa sana! Na itapendwa zaidi ikiboresha vipindi vyake!
 
That is good piece of advice. I still believe that Clouds fm inapendwa sana! Na itapendwa zaidi ikiboresha vipindi vyake!

Unasema ukweli mkuu! yaani hii ikirebishwa vizuri itakuwa the best Tanzania nzima hakutakuwa na radio inayoifunika hii!
 
Habari yako msomaji!

KWA WAMILIKI WA RADIO CLOUDS FM.

Mimi Radio Producer napenda kuandika ushauri wangu kwako/kwenu wamiliki wa clouds Fm. Ni ushauri tu ukiupenda karibu, ukiona kawaida hakuna shida, silipwi wala sikulipi!

1. Nawapongeza sana Clouds fm kwa kujipanua na kusikika sehemu nyingi za nchi yetu ya Tanzania. Usikivu wenu ni mzuri kabisa, na mna kitu unique kabisa katika muonekano wa radio yenu. Nawapongeza sana kwa hili kwa sababu kila tunapotune radio hii huwa tunaipata bila shida kabisa! Hongereni pia kwa kujitahidi kutafuta wafanyakazi wenye uwezo wa kazi na ubunifu wa hali ya juu, ukweli wapo wafanyakazi katika radio yenu wanafanyakazi vizuri sana!

2. Pili napenda kuzungumzia vitu hivi (Format, Goal and Targeted Audience) ya radio yenu. Kwa harakahara bado natatizwa sana na format ya radio yenu, je ni music format au? hapa bado napata shida kulingana na mpangilio wa vipindi! Ninachoshauri hapa jaribuni kuiangalia format na muitumie kuprogram vipindi vyenu itasaidia sana. Goal yenu ni ipi hasa? je, mnaitumia kama ipasavyo? Tatu walengwa wenu (Targeted audience) ni akina nani? Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu wakati mwingine nimeambiwa walengwa ni Vijana. Kama ni vijana je. format mnayotumia inapendwa na vijana? kama ni music format inaweza kuwa yes, lakini je goal yenu inafika sawasawa? (HAPA NDIO RADIO CLOUDS INAPOSABABISHA MAMBO YASOMEKE TOFAUTI KWA WASIKILIZAJI) kwanini??

3. Kwa sababu 1. Lugha- mara nyingi lugha inayotumika hasa kiswahili cha wadada hao na wakaka hao hakiendani na na wala hakiwezi kusimamia goal iende sawa. Kama mna malengo mfano ya kuielimisha vijana, unadhani kwa hali ya lugha inayotumika unajenga nini? Uharibifu mkubwa wa utamaduni wa mtanzania kwa matumizi mabaya ya lugha ya kiswahili. Nyinyi kama chombo cha habari mlitakiwa kuwa mstari wa mbele kuwafundisha vijana kutumia lugha vizuri zaidi ili tuwe na taifa lenye nguvu na utamaduni wa kupendeza!

4. Kwasababu 2. Uwezo wa baadhi ya watangazji. Kuna baadhi ya watangazaji wanashindwa kuitendea haki clouds fm kwa kushusha sifa na maadili ya radio. Si unajua mtangazaji akiharibu ameharibu jina la radio husika?? Wengine hawana uwezo mkubwa na wa kufikiri lakini hao ndio wanakuwa wategemewa wa kuchangia mijadala mbalimbali matokeo yake wanachangia kwa hisia zao wenyewe, ni hatari sana! Narudia tena ni hatari sana kwa mtangazaji kuruhusu hisia zake anapokuwa kwenye kipindi.

5. Kwa sababu 3. Vipindi vyenu- Jaribuni kuviangalia vipindi vyenu upya! vyaweza kuwa vizuri sana lakini format yake ndiyo inaharibu! angalieni maadili ya mtanzania pia! Hasa kwenye hivyo vipindi vya mapenzi na mahusiano jaribuni kuviprogram upya vikae katika hali ya kufundisha na kuelimisha jamii siyo tu kuburudisha! Tumieni lugha nzuri kwenye vipindi hivi ili atu waone userious wa kipindi. Wekeni vitu vizuri kwa walengwa, isije kuwa ka kuwa walengwa ni vijana kwa hiyo muwaandalie vipindi vya mtindo huo ili wafurahi, hiyo itakuwa ni hasara! Hata kama vijana ndio walengwa nia mathubuti ni kwamba wao wajifunze kutoka radio yenu siyo wajifunze lugha mbaya, matusi na mambo ya kiajabuajabu!

6. Kwa sababu 4. Balance- hata kama walengwa ni vijana waangalieni hata bonus audience! Kuweni na balance wapendwa media zinawatu wengi hata kama ni wa namna tofauti ila wote hujumuika pamoja na kusikiliza au kutazama! Sasa mmeandaa kipindi cha mapenzi kwa ajili ya kijana, watangazaji wenyewe tu wanaonekana wamelewa na mahaba unadhani kipindi hiki kitaangaliwa ma familia yote? kitamfundisha kijana au kumchochea kwenye hisia mbaya?

7. Mwisho, angalieni sana watangazaji wenye majina, wasifanyekazi kwa kuangalia majina yao! Wanaharibu lazima wafuate utaratibu kwa kituo husika! mtapata pesa sana lakini kama maadili yanapotea pesa hiyo haitawasaidia kitu kwa sababu mtakuwa manapotosha jamii! Jaribuni kuuangalia uongozi wenu hasa PROGRAM MANAGER! huyu bwana angekuwa serious hayo yote yasingetokea! Hapo ndio ikulu, kama PM yuko vizuri mambo yote yatakuwa safi tu upande wa programming!

Acheni kutumia lugha mbaya/mtaani/chafu/uchochezi, acheni kutumia hisia zenu mnapokuwa hewani, angalieni format yenu, goal yenu na targeted audience wenu, angalieni uwezo wa watangazaji wenu hakika mtajenga taifa!

Asanteni kwa kusoma.
Radio Producer
UK.
imetulia mkuu... ila badili basi font, yani inaonekana kama unagomba na hiyo bold and big size... nimefika mwisho kichwa kinauma sababu ya hayo maandishi

please mkuu
 
Habari yako msomaji!

KWA WAMILIKI WA RADIO CLOUDS FM.
Mimi Radio Producer napenda kuandika ushauri wangu kwako/kwenu wamiliki wa clouds Fm. Ni ushauri tu ukiupenda karibu, ukiona kawaida hakuna shida, silipwi wala sikulipi!

1. Nawapongeza sana Clouds fm kwa kujipanua na kusikika sehemu nyingi za nchi yetu ya Tanzania. Usikivu wenu ni mzuri kabisa, na mna kitu unique kabisa katika muonekano wa radio yenu. Nawapongeza sana kwa hili kwa sababu kila tunapotune radio hii huwa tunaipata bila shida kabisa! Hongereni pia kwa kujitahidi kutafuta wafanyakazi wenye uwezo wa kazi na ubunifu wa hali ya juu, ukweli wapo wafanyakazi katika radio yenu wanafanyakazi vizuri sana!

2. Pili napenda kuzungumzia vitu hivi (Format, Goal and Targeted Audience) ya radio yenu. Kwa harakahara bado natatizwa sana na format ya radio yenu, je ni music format au? hapa bado napata shida kulingana na mpangilio wa vipindi! Ninachoshauri hapa jaribuni kuiangalia format na muitumie kuprogram vipindi vyenu itasaidia sana. Goal yenu ni ipi hasa? je, mnaitumia kama ipasavyo? Tatu walengwa wenu (Targeted audience) ni akina nani? Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu wakati mwingine nimeambiwa walengwa ni Vijana. Kama ni vijana je. format mnayotumia inapendwa na vijana? kama ni music format inaweza kuwa yes, lakini je goal yenu inafika sawasawa? (HAPA NDIO RADIO CLOUDS INAPOSABABISHA MAMBO YASOMEKE TOFAUTI KWA WASIKILIZAJI) kwanini??

3. Kwa sababu 1. Lugha- mara nyingi lugha inayotumika hasa kiswahili cha wadada hao na wakaka hao hakiendani na na wala hakiwezi kusimamia goal iende sawa. Kama mna malengo mfano ya kuielimisha vijana, unadhani kwa hali ya lugha inayotumika unajenga nini? Uharibifu mkubwa wa utamaduni wa mtanzania kwa matumizi mabaya ya lugha ya kiswahili. Nyinyi kama chombo cha habari mlitakiwa kuwa mstari wa mbele kuwafundisha vijana kutumia lugha vizuri zaidi ili tuwe na taifa lenye nguvu na utamaduni wa kupendeza!

4. Kwasababu 2. Uwezo wa baadhi ya watangazji. Kuna baadhi ya watangazaji wanashindwa kuitendea haki clouds fm kwa kushusha sifa na maadili ya radio. Si unajua mtangazaji akiharibu ameharibu jina la radio husika?? Wengine hawana uwezo mkubwa na wa kufikiri lakini hao ndio wanakuwa wategemewa wa kuchangia mijadala mbalimbali matokeo yake wanachangia kwa hisia zao wenyewe, ni hatari sana! Narudia tena ni hatari sana kwa mtangazaji kuruhusu hisia zake anapokuwa kwenye kipindi.

5. Kwa sababu 3. Vipindi vyenu- Jaribuni kuviangalia vipindi vyenu upya! vyaweza kuwa vizuri sana lakini format yake ndiyo inaharibu! angalieni maadili ya mtanzania pia! Hasa kwenye hivyo vipindi vya mapenzi na mahusiano jaribuni kuviprogram upya vikae katika hali ya kufundisha na kuelimisha jamii siyo tu kuburudisha! Tumieni lugha nzuri kwenye vipindi hivi ili atu waone userious wa kipindi. Wekeni vitu vizuri kwa walengwa, isije kuwa ka kuwa walengwa ni vijana kwa hiyo muwaandalie vipindi vya mtindo huo ili wafurahi, hiyo itakuwa ni hasara! Hata kama vijana ndio walengwa nia mathubuti ni kwamba wao wajifunze kutoka radio yenu siyo wajifunze lugha mbaya, matusi na mambo ya kiajabuajabu!

6. Kwa sababu 4. Balance- hata kama walengwa ni vijana waangalieni hata bonus audience! Kuweni na balance wapendwa media zinawatu wengi hata kama ni wa namna tofauti ila wote hujumuika pamoja na kusikiliza au kutazama! Sasa mmeandaa kipindi cha mapenzi kwa ajili ya kijana, watangazaji wenyewe tu wanaonekana wamelewa na mahaba unadhani kipindi hiki kitaangaliwa ma familia yote? kitamfundisha kijana au kumchochea kwenye hisia mbaya?

7. Mwisho, angalieni sana watangazaji wenye majina, wasifanyekazi kwa kuangalia majina yao! Wanaharibu lazima wafuate utaratibu kwa kituo husika! mtapata pesa sana lakini kama maadili yanapotea pesa hiyo haitawasaidia kitu kwa sababu mtakuwa manapotosha jamii! Jaribuni kuuangalia uongozi wenu hasa PROGRAM MANAGER! huyu bwana angekuwa serious hayo yote yasingetokea! Hapo ndio ikulu, kama PM yuko vizuri mambo yote yatakuwa safi tu upande wa programming!

Acheni kutumia lugha mbaya/mtaani/chafu/uchochezi, acheni kutumia hisia zenu mnapokuwa hewani, angalieni format yenu, goal yenu na targeted audience wenu, angalieni uwezo wa watangazaji wenu hakika mtajenga taifa!

Asanteni kwa kusoma.
Radio Producer
UK.

hapo kwenye red unamsema nani,kuwa muwazi
 
imetulia mkuu... ila badili basi font, yani inaonekana kama unagomba na hiyo bold and big size... nimefika mwisho kichwa kinauma sababu ya hayo maandishi

please mkuu
Poa mkuu ngoja niitoe bold tuone
 
Kama ulikuwa hujui siri ya mafanikio ya clouds ni kuenda kinyume na kawaida, kawaida ni kama hayo yote uliyoyaandika. Hebu jiulize wakiyafuata hayo yote watakuwa tofauti gani na radio one, times fm, capital, magic fm na redio nyingine na 'kawaida' ? Watu wengi wamefeli maisha na hata katika mambo mengine kwa kuamini katika kanuni za utendaji hivyo kukosa jipya kwa kuwa kanuni hizo zipo kwa kila mtu. Clouds wamejivua hili gamba ndio sababu wapo juu na hata hao unaodhani wanafuata hizi kanuni wakitoka tu studio na kuingia kwenye magari yao wana tune clouds. Kuhusu programme manager kama hujui ni Sebastian Maganga huyu anaijua tasnia hii ya radio na burudani kindakindaki kwani amepitia radio nyingi tu hapa nchini. Sijui ni lini umeanza kusikiliza lakini ninachojua kama wewe ni msikilizaji wa radio hii hata kwa saa moja tu lazima utajua kuwa hii redio inafuata mkondo gani, ndio maana vibwagizo vyao kama RADIO YA WATU au BURUDANI JADI yetu vinarudiwa.
 
Kama ulikuwa hujui siri ya mafanikio ya clouds ni kuenda kinyume na kawaida, kawaida ni kama hayo yote uliyoyaandika. Hebu jiulize wakiyafuata hayo yote watakuwa tofauti gani na radio one, times fm, capital, magic fm na redio nyingine na 'kawaida' ? Watu wengi wamefeli maisha na hata katika mambo mengine kwa kuamini katika kanuni za utendaji hivyo kukosa jipya kwa kuwa kanuni hizo zipo kwa kila mtu. Clouds wamejivua hili gamba ndio sababu wapo juu na hata hao unaodhani wanafuata hizi kanuni wakitoka tu studio na kuingia kwenye magari yao wana tune clouds. Kuhusu programme manager kama hujui ni Sebastian Maganga huyu anaijua tasnia hii ya radio na burudani kindakindaki kwani amepitia radio nyingi tu hapa nchini. Sijui ni lini umeanza kusikiliza lakini ninachojua kama wewe ni msikilizaji wa radio hii hata kwa saa moja tu lazima utajua kuwa hii redio inafuata mkondo gani, ndio maana vibwagizo vyao kama RADIO YA WATU au BURUDANI JADI yetu vinarudiwa.

Kwa mtazamo wako uko sawa! Lakini ungekuwa mtu wa kuelewa radio ninini hasa hata usingechangia vitu kama hivyo! Hatuanzishi radio ili kujipatia pesa zaidfi hivyo ndivyo ilivyo! Na pia elewa radio ni chombo chenye nguvu mambo yanayofanyika redio yanageuza mioyo ya watu wengi! WEWE UNAONA NI VYEMA KWENDA KINYUME NA KANUNI ILI KUJIPATIA KIPATO? NI TOFAUTI GANI KATI YAO NA MUUZA BANGI AU MADWA YA KULEVYA? KAMA VIJANA WANAJIFUNZA MAMBO YA KUHARIBU TABIA NK MI SIONI TOFAUTI NA MTU ANAYE WAUZIA BANGI! KWA MTU MWENYE TAALUMA YA MAMBO HAYA AMENIELEWA ILA WEWE HUWEZI KUNIELEWA MAANA WEWE UNADHANI TU NI HISIA ZA KIMBWENGA!
 
Kwa mtazamo wako uko sawa! Lakini ungekuwa mtu wa kuelewa radio ninini hasa hata usingechangia vitu kama hivyo! Hatuanzishi radio ili kujipatia pesa zaidfi hivyo ndivyo ilivyo! Na pia elewa radio ni chombo chenye nguvu mambo yanayofanyika redio yanageuza mioyo ya watu wengi! WEWE UNAONA NI VYEMA KWENDA KINYUME NA KANUNI ILI KUJIPATIA KIPATO? NI TOFAUTI GANI KATI YAO NA MUUZA BANGI AU MADWA YA KULEVYA? KAMA VIJANA WANAJIFUNZA MAMBO YA KUHARIBU TABIA NK MI SIONI TOFAUTI NA MTU ANAYE WAUZIA BANGI! KWA MTU MWENYE TAALUMA YA MAMBO HAYA AMENIELEWA ILA WEWE HUWEZI KUNIELEWA MAANA WEWE UNADHANI TU NI HISIA ZA KIMBWENGA!

Du mshikaji una elimu gani? Maana concept hapo ni rahisi tu. Ninaposema kwenda kinyume na kawaida au kukiuka sheria au kanuni za kiutendaji si maanishi kukiuka sheria za nchi. Labda nikueleweshe hayo mawazo yako yote ni kile wazungu wanaita mawazo ndani ya box, hapo kila aliye ndani ya box anakuwa sawa tu na mwingine lakini kuna posibilities nje ya box ambazo zitaweza kukutofautisha na wenzako sasa kuzifuata hizo tofauti nje ya box ndio kuvunja sheria. Kumbuka watu wote duniani waliofanikiwa kuna misingi fulani ya kawaida waliivunja. Kama mawazo yako yangekuwa ndio njia ya mafanikio nadhani Clouds wangekuwa ni redio isiyokuwa na nguvu kabisa lakini kwa kuwa hayo mawazo yako ni 'kawaida' tu na mafanikio ni kutoka nje ya kawaida leo hii Clouds ni powerful movement hapa TZ na itaendelea kuwa hivyo hadi hapo wengine watakapo achana na mawazo mgando kama yako. PS achana na masuala ya kukariri hebu shirikisha ubongo wa kuzalisha wazo jipya.
 
hapo kwenye red unamsema nani,kuwa muwazi

njaa kali KIBONDE
M ningepewa usimamizi wa miezi mitatu kurekebisha hii redio kabla ya kufika huko mikochen huyu bana lazima apishane na memo ya kumtakia heri na fanaka maisha yake yajayo alafu narudi na kwa wale mabinti wanaotafuta mabwana kwenye redio nao nafagia...huku nikisikiliza pumzi ya bodi itakavyopiga kelele ama nistaafu ama niendelee kufagia uchafu wao..unajua hawa sio wao tatizo kubwa kuna vibopa wa clouds huko juu ndio wanawatia ujinga..ukianza na vile vibinti vya clouds m nasema gonjwa likiamua kukomaa sikuhiyo nahisi ile redio itabaki ile milingoti..yaani wamekaa kusahra share tu kama pipi avijiheshimu kabisa basi kama umeingizwa kwa kumpa bosi endelea na huyo sio kuanza kugawa dose kwa wengine tena
 
watangazaji ambao wanabebwa tu pale Clouds radio ni KIBONDE huyu bwana anaharibu kabisa maana ya radio hajui matumizi ya LUGHA hata kidogo sijui aliwahi kufanya kazi ya UKULI pale bandarini, mwingine ni GELARD HANDO huyu bwana yeye bora kaongea ukimsikiliza kwa makini utajua kabisa kwamba utangazaji sio fani yake kabisa na mwenzake PAUL JAMES, kwa upande wangu ni hao ndio nabahatikaga kuwasikia maana radio yenyewe nasikiliza asubuhi wakati nikiwa naelekea kibaruani na jioni nikiwa narudi home. Jamani sio lazima wote tuwe watangazaji wengine tungebaki kuwa wasikilizaji maana RADIO inageuka kuwa genge la walevi, matusi, kashfa madharau, mambo yao binafsi wanaletaradioni.. kiukweli ni kichefuchefu. Tena siku hizi KIBONDE anamuiga Masanja wa ZE KOMED kuongea.
 
Du mshikaji una elimu gani? Maana concept hapo ni rahisi tu. Ninaposema kwenda kinyume na kawaida au kukiuka sheria au kanuni za kiutendaji si maanishi kukiuka sheria za nchi. Labda nikueleweshe hayo mawazo yako yote ni kile wazungu wanaita mawazo ndani ya box, hapo kila aliye ndani ya box anakuwa sawa tu na mwingine lakini kuna posibilities nje ya box ambazo zitaweza kukutofautisha na wenzako sasa kuzifuata hizo tofauti nje ya box ndio kuvunja sheria. Kumbuka watu wote duniani waliofanikiwa kuna misingi fulani ya kawaida waliivunja. Kama mawazo yako yangekuwa ndio njia ya mafanikio nadhani Clouds wangekuwa ni redio isiyokuwa na nguvu kabisa lakini kwa kuwa hayo mawazo yako ni 'kawaida' tu na mafanikio ni kutoka nje ya kawaida leo hii Clouds ni powerful movement hapa TZ na itaendelea kuwa hivyo hadi hapo wengine watakapo achana na mawazo mgando kama yako. PS achana na masuala ya kukariri hebu shirikisha ubongo wa kuzalisha wazo jipya.

Kijana kama upo kwenye fani hii ya media ibabidi ukarudie darasa! Inaonekana unapenda sana pumba ndiyo maana unatetea pumba! Uwe mtu wa kuelewa! clouds ina power je jamii inaipokeaje power hiyo? Mbona malalamiko mengi kwa watu juu ya tuhuma hizo nilizoanisha? unapenda wewe kwa sababu na wewe ni moja ya yale madude! Sasa subirini Tanzania mpya inakuja radio kama hizi zinakuja kupigwa chini! Tafadhali sana usiingilie ushuri kwa kuuharibu! Jifunze kuppokea feedback sio kuja tu umeruka kinyume! TCRA mpya inakuja baada ya mafisadi kuachia ngazi subirini mambo yatakavyobadilika!
 
watangazaji ambao wanabebwa tu pale Clouds radio ni KIBONDE huyu bwana anaharibu kabisa maana ya radio hajui matumizi ya LUGHA hata kidogo sijui aliwahi kufanya kazi ya UKULI pale bandarini, mwingine ni GELARD HANDO huyu bwana yeye bora kaongea ukimsikiliza kwa makini utajua kabisa kwamba utangazaji sio fani yake kabisa na mwenzake PAUL JAMES, kwa upande wangu ni hao ndio nabahatikaga kuwasikia maana radio yenyewe nasikiliza asubuhi wakati nikiwa naelekea kibaruani na jioni nikiwa narudi home. Jamani sio lazima wote tuwe watangazaji wengine tungebaki kuwa wasikilizaji maana RADIO inageuka kuwa genge la walevi, matusi, kashfa madharau, mambo yao binafsi wanaletaradioni.. kiukweli ni kichefuchefu. Tena siku hizi KIBONDE anamuiga Masanja wa ZE KOMED kuongea.

Yaani mkuu unaeleza kweli kuna mpuuzi mmoja hapo juu anapinga sijui huwa anafurahiaje matusi hayo? jaman kuna watu wengine wamejaa mawazo mabaya tu!
 
njaa kali KIBONDE
M ningepewa usimamizi wa miezi mitatu kurekebisha hii redio kabla ya kufika huko mikochen huyu bana lazima apishane na memo ya kumtakia heri na fanaka maisha yake yajayo alafu narudi na kwa wale mabinti wanaotafuta mabwana kwenye redio nao nafagia...huku nikisikiliza pumzi ya bodi itakavyopiga kelele ama nistaafu ama niendelee kufagia uchafu wao..unajua hawa sio wao tatizo kubwa kuna vibopa wa clouds huko juu ndio wanawatia ujinga..ukianza na vile vibinti vya clouds m nasema gonjwa likiamua kukomaa sikuhiyo nahisi ile redio itabaki ile milingoti..yaani wamekaa kusahra share tu kama pipi avijiheshimu kabisa basi kama umeingizwa kwa kumpa bosi endelea na huyo sio kuanza kugawa dose kwa wengine tena

Mkuu unaousema ni ukweli! hii radio watu wengi wanailalamikia inafanya mambo ya ajabu sana! sijui TCRA wanafanya nini tu nchi yetu jamani
 
Kijana kama upo kwenye fani hii ya media ibabidi ukarudie darasa! Inaonekana unapenda sana pumba ndiyo maana unatetea pumba! Uwe mtu wa kuelewa! clouds ina power je jamii inaipokeaje power hiyo? Mbona malalamiko mengi kwa watu juu ya tuhuma hizo nilizoanisha? unapenda wewe kwa sababu na wewe ni moja ya yale madude! Sasa subirini Tanzania mpya inakuja radio kama hizi zinakuja kupigwa chini! Tafadhali sana usiingilie ushuri kwa kuuharibu! Jifunze kuppokea feedback sio kuja tu umeruka kinyume! TCRA mpya inakuja baada ya mafisadi kuachia ngazi subirini mambo yatakavyobadilika!

Weka clip moja kali ya production zako. haa tukusikie na wewe. sometme theory ni rahisi sana kuliko practical ndio maana unaona watu wanakiimbilia kwenye siasa. Sababu siasa ni therory tu.
 
Clouds FM ni Entertainment radio katika usajili wake mambo mengine nafikiri wanabangaiza tu

ni ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom