Ushauri wa bure kwa waombaji wapya wa mikopo (heslb) mwaka 2012-2013

Mtz.mzalendo

JF-Expert Member
Jul 22, 2012
357
49
Inauma sana pale watoto wa masikini wanaponyimwa mikopo kwa majibu ya bajeti haitoshi eti sababu sungura mdogo,hii haikubaliki ukizingatia bajeti ya elimu bado haijapitishwa hivyo sioni sababu ya wenye sifa kukosa mikopo,hivyo tuungane kwenda wizara usika mpaka kieleweke hakuna kurudi nyuma.
 
kwani wameshatoa majina?? nimeshindwa kupata point yako ndugu
 
Hiyo ni lazima hata kabla hawajatoa lazima wapo ambao wataambiwa bajeti haitoshi,labda kwa mwaka huu ila ni kawaida yao
 
nadhani unakumbuka PRIORITY na NON-PRIORITY!! sasa hapa ndo sehem yao ya kujitetea kama utapangwa kwenye caurse ya NON-PRIORITY ukinyimwa loan utakua huna pa kukimbilia..nadhan wamejiadhari toka mapema..kwa hiyo wajameni tuwe tiar!!!!
 
Tena na hvi budget ya mwaka huu elimu sio kipaumbele!mtafurahi wenyewe.
 
kwa mfano mtu akiandikiwa 0% ataweza kupewa bumu? na je akiaandikiwa nil? ndo kakosa vyote auu? wadau nifahamisheni kabisa
 
Ata mwaka jana walisema watu wa education hawakosi mkopo lakini kilichotokea baadae unaambiwa bajetiphaitoshi
 
kwa mfano mtu akiandikiwa 0% ataweza kupewa bumu? na je akiaandikiwa nil? ndo kakosa vyote auu? wadau nifahamisheni kabisa

Ukiandikiwa 0% hapo hupati tuition fee yaani utahilipia 100% ila bum na pesa zingine utapata, Na ukiandikiwa NIL hapo sahau kilakitu yaani "HUPATI CHOCHOTE"
 
Back
Top Bottom