Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Mimi sijazungumzia Magazeti; nimezungumzia taarifa za Election Observers walioshiriki katika mchakato wa uchaguzi.
Magazeti yana hulka ya kuandika vichwa vya habari na taarifa zitakazouzika.
Binafsi, sijazungumza kuwa mimi ni mshabiki wa Chama Tawala, bali naongea kama MZALENDO wa taifa la Tanzania. Gross Conclussion kuwa Uchaguzi wetu ulikuwa na Uchakachuaji sio suala muafaka.
NEC ishajibu hoja.
Kama ishu ni uchelewaji wa majibu; most of results zimetolewa within the TIMEFRAME agreed.
Ni jambo lililo dhahiri kuwa Tuhuma za UCHAKACHUAJI zilianza hata kabla ya Uchaguzi kama selling point ya CAMPAIGN huku ikiwa ni uchochezi.
Hali ya uchakachuaji Tz tunaijua sisi watanzania si hao observers, hawana huruma na sisi, wana lao jambo. Akili yako isiwe tegemezi. Tulia vizuri utajua ukweli.