engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Umefika wakati sasa chama kikubwa kama CDM kuwa na vitu vyake binafsi muhimu vitakavyo iweka CDM juu zaidi ya sasa,
Najaribu kutoa ushauri kwa CDM kuwa wasione hatari kwa wao kuanzisha CDM TV na CDM RADIO ambavyo vitakuwa vikifanya kazi moja tu ya kusambaza na kuitangza CDM Mijini na Vijijini,
Hii itasaidia CDM kukwepa Mgomo uliopo sasa wa vyombo vya habari kama TV wa kutotangaza hata hotuba za viongozi wa chama pindi wanapokuwa ktk mikutano yao
kwa kuwa CDM sasa inawanachama na wakeleketwa wengi kuna umuhimu wa kuwa na media hizo ambazo mwisho wa siku zitakuwa zikibeba ujumbe muhimu kwa wana chadema na hata masio wanachadema
Ni ushauri tu kwa manufaa ya CDM na watu wake
nawasilisha
Najaribu kutoa ushauri kwa CDM kuwa wasione hatari kwa wao kuanzisha CDM TV na CDM RADIO ambavyo vitakuwa vikifanya kazi moja tu ya kusambaza na kuitangza CDM Mijini na Vijijini,
Hii itasaidia CDM kukwepa Mgomo uliopo sasa wa vyombo vya habari kama TV wa kutotangaza hata hotuba za viongozi wa chama pindi wanapokuwa ktk mikutano yao
kwa kuwa CDM sasa inawanachama na wakeleketwa wengi kuna umuhimu wa kuwa na media hizo ambazo mwisho wa siku zitakuwa zikibeba ujumbe muhimu kwa wana chadema na hata masio wanachadema
Ni ushauri tu kwa manufaa ya CDM na watu wake
nawasilisha