masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
You are behind the news mkuu.Wewe pia hutofautiani na Manyanya hakuna sehemu yoyote ambapo Chadema wameshabikia mgomo na ndomana wamepigania sana lijadiliwe Bungeni na spika akalitolea nje kwakivuli cha mahakama.
Soma magazeti ya leo juu ya mikutano ya usiku usiku kati ya viongozi wa Madaktari waliogoma na CHADEMA katika hoteli ya Desert Palm na Dear Mama huko Dodoma.