Mazee
Senior Member
- Dec 6, 2007
- 128
- 24
Ninawashauri ccm na wale wanazi wa ccm kuacha kupiga kelele na badala yake na wao waandamane kushawishi wananchi na kuhamasisha katika hoja zao ambazo wao wanaziona kuwa zinafaa kama cdm wanavyofanya by the way falsafa ya cdm imekuwa ni nguvu ya umma kabla ya matukio ya afrika magharibi hayajaanza kutokea hivyo jamani acheni ugomvi na uzabizabina nyie ccm... Na nyie andamaneni na mfanye mikutano ya hadhara ....wananchi watajaa zaidi ya cdm...