Mbeu
Member
- Jan 22, 2011
- 35
- 0
Hali hii ina sikitisha hamna utaratibu maalumu wa kuongea na wananchi, mada ni moja lakini kila waziri anaropoka anachofikiri ni sahihi. mfano waziri Membe kazungumza lake kuhusu Chama fulani kufadhiliwa na Balozi at the same time anakurupuka waziri (SS) mwingine anataja chama Kwa jina. please CCM naomba muwe na utaratibu wa kuwa na GOVERNMENT SPOKES PERSON, maana mna chafua HALI YA HEWA na uropokaji wenu Behave!