kama ndivyo basi makanisa na misikiti ndio wahesabu watu/waumini wao kama dhamira ni kwa matumizi ya imani
sensa ni kwa ajili ya kujua idadi ya watu na itikadi zao za dini.sio jambo jipya Tanzania wala duniani kwa ujumla.ukijaribu kutaka kujua idadi ya watu nchi yoyote na itikadi za dini zao unapata.swali kwaninï iwe ajabu sasa na hapa Tanzania?kuna jambo nyuma ya pazia.