Nimepata tabu kwa muda ili kujaribu kufikiri na kupata sababu na jibu la maana la waislamu kususia hesabu ya watu nchini yaani sensa. Bado sijaelewa idadi ya watu, ama hesabu ya watu inahusiana vipi na imani za kidini wakati wanaohesabiwa ni watanzania wenye dini mbali mbali walionea na kusambaa nchini kwetu.
Je! Serikali ikichakachua idadi kamili ya watu wa dini fulani na kutoa idadi tofati kutakuwa na faida gani? Je! idadi ndogo ya waumini inasababisha kupungua imani ya watu kwa dini yao? Ukiwa na imani unaweza kuwa na dini yako peke yako, au ya watu sita tu na bado ikawa dini bila ya halaiki ya watu.
Au lengo letu ni kushindana idadi na watu wa imani nyingine? Hiyo itakuwa na faida gani kwetu.
Ikiwa ni hivyo, ushauri wangu ni huu.
Tuiache sensa ya serikali ifanye kazi yake, tukubali kuhesabiwa. Baada ya hapo tufanye sensa yetu ya waislamu tu. Nina hakika kila mtaa haukosi kuwa na shekhe ambaye anaweza kupita na kujua idadi ya waislamu walio katika mtaa wake, ndani ya kipindi kifupi tunaweza kupata majibu kwa kupitia sensa yetu ya uhakika. Maustadhi na mashekhe wetu mbona mengi mnayapigania na kufanikiwa? Je, sensa maalumu kwa ajili ya waislamu tu, itawashinda?
Hakuna sababu ya kutaka kujua idadi yetu kwa kubebwa na sensa ya serikali wakati uwezo tunao watu wakihamasishwa. Huo ndio ushauri wangu, isije ikawa tunafanya mambo kinyume na demokrasia na matakwa ya jamii inayotuzunguuka.
Na kutambulika officially Kiserikali
Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
Makubwa! Kumbe kelele zoooooote, mnataka posho tu! Idadi yenu itambulike vp na Serikali wakati Serikali haizihitaji takwimu hizo? Jihesabuni wenyewe kwa afya zenu na kwa gharama zenu. Wenzenu Wakristo wa Roma wako so organised, kuanzia ngazi ya Jumuiya ndogo ndogo(mitaa) - Kigango - Parokia - Jimbo - Taifa. Kila mwaka huhesabiana bila gharama yoyote, ni kiasi cha tamko tu kuwa leteni idadi ya waumini inapelekwa within one week imeshafika kwa Mwadhama Kardinali Pengo na kujulikana wako wangapi bila gharama yoyote, ambaye naye huwasilisha Vatican kwa ajili ya takwimu ya Waroma wote duniani. Acheni kuendekeza ugonjwa wa wanasiasa wa posho, na kutaka "msaada kwenye tuta" baada ya kudandia madodoso yasiyo yenu, ambayo hata hivyo hamchelewi kudai yamechakachuliwa. Jihesabuni wenyewe kule masjidi kwa swadaka zenu bana.Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
Mtaandika sana, mtapayuka sana...mwisho wa siku matahesabiwa kama watanzania wengine bila kuwepo kigezo cha dini kwenye sensa..Iweke hii post kama kumbukumbu tutairejea baada ya zoezi la sensa...Juma Salaam,
Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
- Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
- kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
- Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
- Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?
Juma Salaam,
Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
- Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
- kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
- Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
- Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?
Aliyewakataza wasihesabiwe au wasihesabiane ni nani?Waislam wana haki kama Watanzania na wanalipa kodi ni haki yao kuhesabiwa na serikali hakuna tatizo.
Aliyewakataza wasihesabiwe au wasihesabiane ni nani?
Taabu ya hawa wenzetu hata ukiwapa uongozi wa nchi,yaani Rais,makamu,waziri mkuu na mawaziri wote,makatibu wote,wakurugenzi wa idara wote,wakuu wa mikoa,wilaya wote,wakurugenzi wa mashirika ya umma wote na kadha wa kadha bado hawa jamaa zetu wataendelea kulalamika na kudai mfumo kristo unatawala,frankly is very hard to deal with these characters,they are funny and useless!
Waislam wana haki kama Watanzania na wanalipa kodi ni haki yao kuhesabiwa na serikali hakuna tatizo.
Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
Mtaandika sana, mtapayuka sana...mwisho wa siku matahesabiwa kama watanzania wengine bila kuwepo kigezo cha dini kwenye sensa..Iweke hii post kama kumbukumbu tutairejea baada ya zoezi la sensa...
Juma Salaam,
Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
- Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
- kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
- Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
- Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?
Kuna dini zingine fahari yake ulalamishi na masononeko, mbona wapagani kila siku wakitukanwa na hizi dini zenu za kuletwa na wakoloni (waalabu na wazungu) lakini hawajawahi kunyanyua midomo yao kulalamika wala hawana wasiwasi na uwingi wala uchache wao! lakini kila siku utasikia wakristo wakisema hawa wapagani wanaamini mashetani na waislamu nao wakiwaita makhafir Achaneni na dini za kasumba za kikoloni ndiyo maana hamjiamini, ni infiliority complex hiyo. wapagani watakubali kgharamia sensa ya waumini wenu wakati mwawatukana kila siku?Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
Naona Chadema wote wamerudi nyumbani CCM halafu useme mtaitoa CCM madarakani thubutu! Saizi nyie Chadema mnafuata amri ya Wassira kuhusu sensa na nyie ndio mnapambana kweli, chezea CCM wewe.
Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.