Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wakuu habari za shughuli!
Mimi ni mjasiriamali!nilibahatika kuchukua ka mkopo nikanunua gari aina ya Coaster ila kwa sasa inafanya kazi ya kukodisha kama Tours! nilikua nafikiria kuibalisha na kuwa ya kubeba abiria kama vile daladala ila sitaki iwe daladala manake huwa gari inachoka vibaya mno ukijumuisha na foleni za hapa dar ni kuumizana kichwa tuu.
Najua hapa JF kuna wajasiriamali wenzangu ambao nao pia wapo kwenye hiyo biashara naomba ushauri je nichukue njia ipi yenye abiria?
Nawasilisha wakuu
Mimi ni mjasiriamali!nilibahatika kuchukua ka mkopo nikanunua gari aina ya Coaster ila kwa sasa inafanya kazi ya kukodisha kama Tours! nilikua nafikiria kuibalisha na kuwa ya kubeba abiria kama vile daladala ila sitaki iwe daladala manake huwa gari inachoka vibaya mno ukijumuisha na foleni za hapa dar ni kuumizana kichwa tuu.
Najua hapa JF kuna wajasiriamali wenzangu ambao nao pia wapo kwenye hiyo biashara naomba ushauri je nichukue njia ipi yenye abiria?
Nawasilisha wakuu