displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,950
- 1,039
Asante sana kwa majibu mjarabu kiongozi, maelezo yako yatanisaidia kuepuka gharama zisizo za lazima, thanks! Niliwasiliana na be forward Dar Es salaam office wakaniambia clearance na vingine wanafanya na cost yao ni 295,000 Tsh. Hope nitawatumia wao wenyewe masuala yangu yote, thanks again!1. Gari huchukua wastani wa wiki 4-6
2. Ukishapokea documents toka Beforward, tafuta agent kwa ajili ya kuanza mchakato wa kulitoa gari. Wao huwa wana taarifa rasmi kuwa meli itafika lini, Ingawa nawe unaweza kui trace kupitia baadhi ya websites kujua meli ilipo. Agent atakuambia ni lini mchakato uanze, pia Beforward wanafanya hiyo kazi ukipenda kuwatumia for clearance.
3. Siku 7 za mwanzo huwa bure, baada ya hapo unaanza kulipia storage charge, kwa sasa sijui ni sh ngapi kwa siku. Wakati fulani ilikuwa elfu 20 kwa siku.
Hawa jamaa wapo vizuri sana me nilichukua gari kwao halina hata miezi 2 but usiwatumie wale wa pale NHC watakupunguzia dollar 100 watumie SBT wa Japan utapata kwa bei nzuri sanaNataja kununua Suzuki Escudo ya 2001 nimewasiliana na SBT Japan wameniambia 16ml.vp wadau hawa jamaa wako safi? Pia nishaurini ni gari ya kazi kwa road zetu bongo?
Chukua WISH kwa kuwa haitachajiwa uchakavu sana maana ni ndani ya miaka 10 pia tafuta kampuni ya beforward ni nzuri ukiweza tumia BFS 178357 utapata punguzo zaida na utafurahia hiyo gari kwa bei ya discountWadau naomba ushauri wenu, nahitaji kununua kati ya IST toleo la 2005 au WISH ya 2007 ni ipi inafaa zaidi kwa Tanzania?
Pia nataka ninunue kupitia tradecarview japo nipo Japan kwa miezi minne zaidi lkn sina uhakika na yard zao pia lugha ni tatizo wengi hawajui kiingreza. Naomba uzoefu wenu.
Hapana, ni lazima utumie agent. Wamesajiliwa na wanatambulika kwa hiyo kazi.Kwani process za bandari lazima utumie agents huwezi kufanya tu mwenyewe?
Asante sana kwa kunielimishaHapana, ni lazima utumie agent. Wamesajiliwa na wanatambulika kwa hiyo kazi.