Habari zenu wanajukwaa
Currently mimi ni mwanachuo naingia mwaka wa tatu nasomea bachelor ya business administration. Lakini from the bottom of my heart nimegundua napenda sana field ya information technology(IT) . Please naomba ushauri, naweza kusoma masters ya IT wakati degree ya kwanza nimesomea BBA?
Currently mimi ni mwanachuo naingia mwaka wa tatu nasomea bachelor ya business administration. Lakini from the bottom of my heart nimegundua napenda sana field ya information technology(IT) . Please naomba ushauri, naweza kusoma masters ya IT wakati degree ya kwanza nimesomea BBA?