wakuu naombeni ushauri
nilikua na msichana wangu (naweza kumwita mchumba) tulifikia hatua ya kutambulishana kwa
wazazi na kupata baraka zote, tulipanga kuanza taratibu za kupeleka mahari na katika kipindi cha zaidi ya miezi 7
hatukuwahi kufanya tendo la ndoa hadi mwanzoni mwa desemba 2011, tumeshiriki hilo tendo mara4 sasa
cha ajabu na kinachonifanya niandike hapa ni kitendo cha hivi majuzi wakati tuko kwenye game baada ya kuwa
tumepiga kinywaji cha kutosha demu alihamisha mtarimbo na kuupeleka rough road, nilikua muumini wa huo
mtandao kipindi cha nyuma lakini niliazimia kuuacha hivyo kwa kutumia uzoefu wangu niliendeleza game hadi
nikamaliza alifurahi sana akaomba turudie tena sasa jana kaja ghetto nikambana ni lini alianza hako kamchezo
hakunipa majibu ya maana zaidi ya kunituhumu na mimi kuwa ni mshirika wa mchezo husika, swali kwenu wadau ni
endelee nae ama nimpige chini sababu mapenzi nahisi yameanza kupungua nahisi kuna mtu atakua alimuanzishia
na ataendeleza.
nilikua na msichana wangu (naweza kumwita mchumba) tulifikia hatua ya kutambulishana kwa
wazazi na kupata baraka zote, tulipanga kuanza taratibu za kupeleka mahari na katika kipindi cha zaidi ya miezi 7
hatukuwahi kufanya tendo la ndoa hadi mwanzoni mwa desemba 2011, tumeshiriki hilo tendo mara4 sasa
cha ajabu na kinachonifanya niandike hapa ni kitendo cha hivi majuzi wakati tuko kwenye game baada ya kuwa
tumepiga kinywaji cha kutosha demu alihamisha mtarimbo na kuupeleka rough road, nilikua muumini wa huo
mtandao kipindi cha nyuma lakini niliazimia kuuacha hivyo kwa kutumia uzoefu wangu niliendeleza game hadi
nikamaliza alifurahi sana akaomba turudie tena sasa jana kaja ghetto nikambana ni lini alianza hako kamchezo
hakunipa majibu ya maana zaidi ya kunituhumu na mimi kuwa ni mshirika wa mchezo husika, swali kwenu wadau ni
endelee nae ama nimpige chini sababu mapenzi nahisi yameanza kupungua nahisi kuna mtu atakua alimuanzishia
na ataendeleza.