Zneba
Senior Member
- May 12, 2010
- 192
- 7
Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu wa karibu sana amepata tatizo hili hapa na anaomba mumsaidie ushauri.naomba ambae hayuko serious asichangie kabisa.
Rafiki yangu ana boyfriend ambae wanapendana sana tu, tatizo hawa watu kwanza wana dini tofauti mwanaume ni mkristo na msichana ni muslim shida imekuja mwanaume amewambia ndugu zake kuwa anataka kumuoa huyo binti kwa ndoa ya bomani ndugu wamekataa kabisa wanataka amuoe msichana wake wa mwanzo ambae ni mkristo km yy, ila jamaa anasema huyo msichana hakuwa anampenda tangu mwanzo ila ndo ndugu wanamtaka huyo.
Na tatizo lingine alilogundua huyu rafiki yangu jamaa amepunguza mawasiliano nae wala hamtembeli tena akidai emechanganyikiwa hajui nini cha kufanya. Sasa bint anauliza, VIPI AAMUE YY KUMUACHA JAMAA TU MANA ANAMUONA KAMA HANA MSIMAMO COZ HATA KAMA KUNA HILO TATIZO KWA NINI ABADILIKE?
MSHAURINI AU ASUBIRI TU MANA JAMAA AMEMUAMBIA ANAENDA KUONGEA NA NDUGU ZAKE KAMA WATARIDHIKA JUU YA HILO.
Rafiki yangu ana boyfriend ambae wanapendana sana tu, tatizo hawa watu kwanza wana dini tofauti mwanaume ni mkristo na msichana ni muslim shida imekuja mwanaume amewambia ndugu zake kuwa anataka kumuoa huyo binti kwa ndoa ya bomani ndugu wamekataa kabisa wanataka amuoe msichana wake wa mwanzo ambae ni mkristo km yy, ila jamaa anasema huyo msichana hakuwa anampenda tangu mwanzo ila ndo ndugu wanamtaka huyo.
Na tatizo lingine alilogundua huyu rafiki yangu jamaa amepunguza mawasiliano nae wala hamtembeli tena akidai emechanganyikiwa hajui nini cha kufanya. Sasa bint anauliza, VIPI AAMUE YY KUMUACHA JAMAA TU MANA ANAMUONA KAMA HANA MSIMAMO COZ HATA KAMA KUNA HILO TATIZO KWA NINI ABADILIKE?
MSHAURINI AU ASUBIRI TU MANA JAMAA AMEMUAMBIA ANAENDA KUONGEA NA NDUGU ZAKE KAMA WATARIDHIKA JUU YA HILO.