gudJohnson
Member
- Aug 24, 2015
- 33
- 54
Habari wanajamvi, naomba ushauri na maelezo juu ya gari tajwa hapo juu (Toyota Sienta) ..... changamoto zake, uzuri, ulaji wa mafuta na maelezo yoyote juu ya hii gari. Asanteni
Ngoja nitafute Volkswagen Polo moja matatayaani ningekuwa nauwezo ningeshauri watu tununue sana magari ya europe ni mazuri sana wakuu hata spea zake sio gari kama tunavyopigwa na kuaminishwa.then yana dumu sana na yanafaida nyingi sana hata ukitaka kuya tune na kuyafanyia mapping ili yawe yana nusa mafuta ni rahisi tofauti na gari za asia.
Ngoja nitafute Volkswagen Polo moja matata
Shida iko kwenye vipuli. Kupata vipuli ni bei juu na utatakuwa uagize nje ya nchi.yaani ningekuwa nauwezo ningeshauri watu tununue sana magari ya europe ni mazuri sana wakuu hata spea zake sio gari kama tunavyopigwa na kuaminishwa.then yana dumu sana na yanafaida nyingi sana hata ukitaka kuya tune na kuyafanyia mapping ili yawe yana nusa mafuta ni rahisi tofauti na gari za asia.
Kana macho mabayaaa!Haina tatizo zaidi ya kukosa shep
gari=ghali.Niliyumba kidogo,asante kwa ushauri wa kiyakinifuyaani ningekuwa nauwezo ningeshauri watu tununue sana magari ya europe ni mazuri sana wakuu hata spea zake sio gari kama tunavyopigwa na kuaminishwa.then yana dumu sana na yanafaida nyingi sana hata ukitaka kuya tune na kuyafanyia mapping ili yawe yana nusa mafuta ni rahisi tofauti na gari za asia.
gari=ghali.Niliyumba kidogo,asante kwa ushauri wa kiyakinifu