Kuna dawa inatengenezwa kwa tangawizi, limao sijui na nini. Ni kiboko ya kikohozi.
chukua tangawizi vichanja viwili ponda upate majimaji yake na uyachanganye na yai moja la kienyeji ila unachukua kile kiini tu cha ndani.magadi.limao na asali kijiko cha chai then changanya huo mchanganyiko utakuwa unalamba asubuhi na jioni kila cku hakikisha unatengeneza kila siku trust me ni dawa nzur xana utapona.Habarini wandugu?.
Naombeni mnisaidie nini cha kufanya kuhusiana na hili tatizo.
Kikohozi sugu kibichi kinamsumbua sana mdogo wangu.
Mwaka wa tatu sasa!
Ulishawahi kwenda kwenda hospital kwa matibabu?_Dear Doctor.
Mimi ninatatizo la kifua kuuma wakati Wa baridi yani kifua kinauma kama kwamba kuna vidonda kifuani na hili tatizo Lilian za mwaka jana, Naomba ushauri wako ni dawa ipi nitumie ili niondokane na hili tatizo? Umri wangu ni miaka 26