Dah! poa Mkuu Maana Mtoto now days anashne kumzd Hata mama Mwenye Duka!
hakuna tatizo hapo
gf wako ni muajiriwa
kwa hiyo majukumu yake ni ya kuajiriwa zaidi....
mwenye duka anaweza kabisa kuamka vibaya na kuwa amenuniana na mkewe
kwa mambo yao binafsi.....
hivyo anamtumia huyo muajiriwa ili kazi ziende
huyo gf wako hata akiacha kazi...akiajiriwa mwingine hali itabaki hivyo hivyo...
mwenye duka anajua mkewe ni 'mtumiaji wa hovyo wa pesa'
na hawezi kumdhibiti kirahisi kwa hiyo anatumia huyo 'muajiriwa' kwa hilo...
khaa! hapa labda ungenijibu maswali yangu hivi unaonaje ukimruhusu huyu binti aingie humu jamvini na ID yako ili nimuulize yeye maswali yangu? manake kwa uelewa wangu maswal yangu huna majibu nayo. so sina msaada kwa sasa.
Yeye Ni Mmalaw Na Hajui kiswahl wala Mambo Ya JF
Hii Ishu Kanitonya Yeye Mwenyewe Na Wala Mimi ckuijua Na Akasema Labda Awe Anazma Cm pind 2 Anapohs Jamaa Anataka Kusafr
Mi Nkasema Haitasaidia zaid Ya Kujiongezea Kes Kazn