Habari wana jf,
Mimi nina umri wa miaka 25, tatizo langu ni kuwa nilikuwa na uhusiano na Kijana mmoja hivi na yeye ni member humu jf, tulikutana tukiwa chuo na tumedumu katika uhusiano huo kwa takribani mwaka mmoja na miezi kumi hivi, nakumbuka alianza kunifuatilia tangu nikiwa first year na mimi nilikuwa mgumu mno kumkubalia coz nilikuwa nikiamini kuwa vijana wa chuo wengi ni waongo na nilikuja kumkubalia wakati wa likizo ya kuingia third year baada ya dada yangu kunishauri kuwa huenda kijana huyo ana nia ya dhati kwangu. Tangu hapo tuliendelea na uhusiano huo mpaka mwaka huu mwezi june nilipomtumia sms huyo mpenzi wangu kumuuliza maswali yafuatayo;
Naomba unijibu kwa ufasaha kutoka moyoni mwako
Hakujibu hiyo sms, nikadhani labda mwenzangu hana vocha nikamtumia salio kidogo coz wote tumegraduate na still hatuna kazi, Still sms haikujibiwa, nikampigia kumuuliza why mbona hajajibu sms yangu, akasema sio kila kitu lazima kijibiwe. Nilipoendelea kumsisitiza anijibu sms yangu akajibu majibu yote hapana, halafu akaniambia nisimpigie simu tena na kila nilipompigia simu hakupikea. Tulipofikia ni kwamba mahusiano yamevunjika. Kaamua kuniacha na mpaka sasa sijui kosa langu ni nini coz mimi hainiingii akilini kuwa only hiyo sms itugombanishe????????????
USHAURI NINAOOMBA KWENU ni kuwa ninajitahidi sana nimsahau lakini nashindwa, nimefuta no. zake zote lakini still ziko kichwani mwangu sijui nifanyeje, naombeni ushauri utakaoniwezesha nimsahau sababu nahisi simuhitaji tena maana alichonifanyia nahisi ni kitendo cha kibaya sana
N.B
Katika uhusiano huo sikuwahi hata siku moja kudemand pesa kutoka kwake na vitu vingine na sijui kwnn ameamua kuniadhibu kiasi hiki.
Samahani kwa maelezo marefu, nawasilisha. USHAURI PLZZZZZZZZZZZZZZ
Mimi nina umri wa miaka 25, tatizo langu ni kuwa nilikuwa na uhusiano na Kijana mmoja hivi na yeye ni member humu jf, tulikutana tukiwa chuo na tumedumu katika uhusiano huo kwa takribani mwaka mmoja na miezi kumi hivi, nakumbuka alianza kunifuatilia tangu nikiwa first year na mimi nilikuwa mgumu mno kumkubalia coz nilikuwa nikiamini kuwa vijana wa chuo wengi ni waongo na nilikuja kumkubalia wakati wa likizo ya kuingia third year baada ya dada yangu kunishauri kuwa huenda kijana huyo ana nia ya dhati kwangu. Tangu hapo tuliendelea na uhusiano huo mpaka mwaka huu mwezi june nilipomtumia sms huyo mpenzi wangu kumuuliza maswali yafuatayo;
Naomba unijibu kwa ufasaha kutoka moyoni mwako
- Je uko tayari na umeridhika kuwa nami kama mkeo Mtarajiwa?
- Unanipenda kweli?
- Uko tayari kunioa?
- Haunidanganyi?
- Umenipenda jinsi nilivyo pamoja na udhaifu nilio nao? Please naomba majibu
Hakujibu hiyo sms, nikadhani labda mwenzangu hana vocha nikamtumia salio kidogo coz wote tumegraduate na still hatuna kazi, Still sms haikujibiwa, nikampigia kumuuliza why mbona hajajibu sms yangu, akasema sio kila kitu lazima kijibiwe. Nilipoendelea kumsisitiza anijibu sms yangu akajibu majibu yote hapana, halafu akaniambia nisimpigie simu tena na kila nilipompigia simu hakupikea. Tulipofikia ni kwamba mahusiano yamevunjika. Kaamua kuniacha na mpaka sasa sijui kosa langu ni nini coz mimi hainiingii akilini kuwa only hiyo sms itugombanishe????????????
USHAURI NINAOOMBA KWENU ni kuwa ninajitahidi sana nimsahau lakini nashindwa, nimefuta no. zake zote lakini still ziko kichwani mwangu sijui nifanyeje, naombeni ushauri utakaoniwezesha nimsahau sababu nahisi simuhitaji tena maana alichonifanyia nahisi ni kitendo cha kibaya sana
N.B
Katika uhusiano huo sikuwahi hata siku moja kudemand pesa kutoka kwake na vitu vingine na sijui kwnn ameamua kuniadhibu kiasi hiki.
Samahani kwa maelezo marefu, nawasilisha. USHAURI PLZZZZZZZZZZZZZZ