Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
What is the other option? Unataka akubali bila kujua kwa hakika kama ni wake au sio. Binti kamaliza darasa la 7, akimchukua na kuanza kumtunza atatumia gharama kiasi gani mpaka aanze kujitegemea au kuolewa?
Halafu hakutakuwa na mahusiano mazuri kama mzee ana shaka na uzazi wa huyo mtoto. Ana sababu za kuwa na mashaka, DNA is the best option. Hata kama ni 5mil, jipige uende.
hapo sawa nimekusoma mkuu