kajiti
Member
- Oct 19, 2011
- 59
- 7
Juzi rafiki yangu kaniomba nimpe ushauri kwenye suala hili hapa!
Mtoto wa rafiki yake inasemekana ameiba nguo ya mtoto wa jirani na kuiuza. Na hapo alipoichukua hawapati na hiyo familia na hiyo familia wamesha fahamu hilo ila wapo kimya. Mtoto baada ya kifinyo kirefu amekubali kuwa ni yeye aliiuza nguo hiyo sababu za kufanya hivyo hazipo.
Wana JF hebu niambieni huyo mwenye mtoto atatueje hili jambo
Mtoto wa rafiki yake inasemekana ameiba nguo ya mtoto wa jirani na kuiuza. Na hapo alipoichukua hawapati na hiyo familia na hiyo familia wamesha fahamu hilo ila wapo kimya. Mtoto baada ya kifinyo kirefu amekubali kuwa ni yeye aliiuza nguo hiyo sababu za kufanya hivyo hazipo.
Wana JF hebu niambieni huyo mwenye mtoto atatueje hili jambo