Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Hongereni kwa kazi wadau.
Nina mtanganyika mwenzangu yuko USA kimasomo. Katika muda wake huko angependa kufanya biashara ya vitu mbalimbali na watanganyika tulioko huku. Yupo kihalali huko na ana mikataba na maduka na makampuni yanayozalisha na kuuza bidhaa mbalimbali kama vifaa vya electroniki, kompyuta, nguo na vinginevyo.
SWALI: - Kwa wenye ufahamu, hali ya soko la aina hii ya bishara ikoje?
- Changamoto kubwa katika aina hii ya biashara ni nini?
Nawakalisha na ahsanteni
Nina mtanganyika mwenzangu yuko USA kimasomo. Katika muda wake huko angependa kufanya biashara ya vitu mbalimbali na watanganyika tulioko huku. Yupo kihalali huko na ana mikataba na maduka na makampuni yanayozalisha na kuuza bidhaa mbalimbali kama vifaa vya electroniki, kompyuta, nguo na vinginevyo.
SWALI: - Kwa wenye ufahamu, hali ya soko la aina hii ya bishara ikoje?
- Changamoto kubwa katika aina hii ya biashara ni nini?
Nawakalisha na ahsanteni