Ushauri p'se: Hataki Kamchezo Ketu..!!

Daah kazi kweli kweli,back 2 da topic mkuu vumilia tu utakula matunda matamu,watu tushabaniwa miaka sita japo tuliwahi kulala kitanda kimoja mara nyingi mwisho wa siku tukala bikra swaaf,acha wenge
Kongosho kuna mtu namjua aliwah kukutana na K iliyokaa horizontal badala ya vertical. Aisee kama kuna kitu sitakaa nisahau ni huu upumbavu yaani pale UDSM maicampus enzi hizo it was full of funny. Alikimbia pasi kuvaa kitu. Dah! yaani naandika nikiwa nacheka manake ilikuwa ni kituko cha mwaka enzi hizo.
 
Last edited by a moderator:
Daah kazi kweli kweli,back 2 da topic mkuu vumilia tu utakula matunda matamu,watu tushabaniwa miaka sita japo tuliwahi kulala kitanda kimoja mara nyingi mwisho wa siku tukala bikra swaaf,acha wenge

wewe ni mwana foe nini? ukisema tu ndiyo au hapana nitaunga lines mwnyw.
 
Usimlazimishe bwana tendo hilo huwa halilazimishwi ukililazimisha linakuwa ubakaji.Vuta subira acha haraka wakati utafika.Hilo wazo la kuuziwa mbuzi kwenye gunia sio sahihi inawezekana wewe ukawa ndio kimeo tatizo letu wanaume huwa ni wabinafsi na kujifikiria sisi zaidi.
Na pia inaonekana bado hajakuamini miezi mi 4 tu kaka tayari unataka kuingia msituni ama unapita.
 
leroy ungejaribu kuweka mazingira ya yeye kukuambia ni kwanini hataki badala ya kumuweka mazingira ya 6/6. Inatakiwa utambue pia katika mahusiano to women it is not always about sex kama wanaume. yeye anaweza maliza hata mwaka.... Badala ya kumuacha mwambie ukweli kuwa unampenda sabb hayupo tayari kufanya hilo tendo at the moment unatafuta mwingine ambae ataweza huku nyie mnaendelea, ili uone how she will react.
 
Last edited by a moderator:
​Lakini yeye anasema huu kwake ni kama ugonjwa, anapenda ku-do, ila ikifika stage hiyo anapatwa na hasira ghafla....

ha ha ha huu ugonjwa ni hatari sana
muulize vizuri uwenda ana historia ya kubakwa kwa hiyo anakumbukia
ukitaka kujua muulize kama ana bikira kama hana jua aliyeitoa alimbaka au alimuachia maumivu na picha mbaya kichwani
 
eti miezi unalalamika,tena aendelee hvyo hvyo,kama unataka oa halafu hapo tena asipotaka tuambie nani anataka ahadi hewa,akuamini wewe kwa lipi?
 
Kuna past experience anazokumbuka kuhusiana na huo "mchezo" wenu... hivyo mvumilie kwa sasa na jaribu kwenda naye kwa washauri na hospital apte matibabu ya kisaikolojia, pia usitumie mazingira ambayo mmezoea kutaka kuanza naye hako kamchezo, vilevile usimshtukize kutaka ku-do... unaweza kuanza kuchat naye kwenye simu ili walau kumuandaa akilini kwanza, kwenda kuchezacheza naye sehemu tulivu kama beach, au kwenye garden nzuri, kucheza naye kwenye mvua, kunywa kinywaji katika chupa au glass moja, na kuongeza kumpetipeti anaweza kuanza kuzoea.... mwisho nashauri muulize au uliza watu wake wa karibu kuhusu hisroria yake ya kimahusiano.

Kuna kitu pia kinaitwa JINI MAHABA, kama analo la kiume basi hapo ni mpaka litolewe maana huwa nasikia linakuwaga na wivu sana. Hii ni kwa wale waaminio tu. Na samahani kama nimetoka offtrack
 
haaaa...
Miezi 4 tu unataka dudu,
wenzio wanasubiria miaka 3 ndo wanapewa....

BADILI TABIA inatakiwa uwe makini... Miaka mitatu si hapo wanakuwa wanakula wengine? By the time unaamua kuwa upo tayari; jamaa anakuta na kujilaumu kusubiri kote huku kumbe hakuna lolote maana after all huwa kuna tofauti kati ya watu na watu. Thou sisemi kuwa kushiriki mapema ni best option, walau iwe reasonable time with plausable reasons..
 
Last edited by a moderator:
miezi minne bado si muda mrefu sana wa mtu kuanza kusikitika kwamba hujapewa huduma.... nenda naye taratibu; mdodose akuambie kwa nini ana-behave that way; ataku-appreciate na ku-respond positively akiona unamjali na unampenda yeye kwa dhati na siyo kwamba unataka tu kumtumia kama chombo cha starehe bila kujali hisia zake...
 
BADILI TABIA inatakiwa uwe makini... Miaka mitatu si hapo wanakuwa wanakula wengine? By the time unaamua kuwa upo tayari; jamaa anakuta na kujilaumu kusubiri kote huku kumbe hakuna lolote maana after all huwa kuna tofauti kati ya watu na watu. Thou sisemi kuwa kushiriki mapema ni best option, walau iwe reasonable time with plausable reasons..

miaka mitatu ya kuaminiana na kama mnapendana kwa dhati mbona inakua simple tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom