Kongosho kuna mtu namjua aliwah kukutana na K iliyokaa horizontal badala ya vertical. Aisee kama kuna kitu sitakaa nisahau ni huu upumbavu yaani pale UDSM maicampus enzi hizo it was full of funny. Alikimbia pasi kuvaa kitu. Dah! yaani naandika nikiwa nacheka manake ilikuwa ni kituko cha mwaka enzi hizo.
miezi minne tu? watu wanavumilia kwa miaka! kutokukupa siyo sababu ya kumwacha, sema tu kuwa humpendi unataka kutest
Ananicheki mwezi wa nne huu...Mbona karibu mambo yangu yote anayajua?
Daah kazi kweli kweli,back 2 da topic mkuu vumilia tu utakula matunda matamu,watu tushabaniwa miaka sita japo tuliwahi kulala kitanda kimoja mara nyingi mwisho wa siku tukala bikra swaaf,acha wenge
​Lakini yeye anasema huu kwake ni kama ugonjwa, anapenda ku-do, ila ikifika stage hiyo anapatwa na hasira ghafla....
Hapana Kongosho, 'k' anayo. Hili sina wasiwasi....!! Nilishawahi kupima OIL..!
Kuna past experience anazokumbuka kuhusiana na huo "mchezo" wenu... hivyo mvumilie kwa sasa na jaribu kwenda naye kwa washauri na hospital apte matibabu ya kisaikolojia, pia usitumie mazingira ambayo mmezoea kutaka kuanza naye hako kamchezo, vilevile usimshtukize kutaka ku-do... unaweza kuanza kuchat naye kwenye simu ili walau kumuandaa akilini kwanza, kwenda kuchezacheza naye sehemu tulivu kama beach, au kwenye garden nzuri, kucheza naye kwenye mvua, kunywa kinywaji katika chupa au glass moja, na kuongeza kumpetipeti anaweza kuanza kuzoea.... mwisho nashauri muulize au uliza watu wake wa karibu kuhusu hisroria yake ya kimahusiano.
Vuta subra anakucheki tabia.. Ahahhahaah
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
haaaa...
Miezi 4 tu unataka dudu,
wenzio wanasubiria miaka 3 ndo wanapewa....
BADILI TABIA inatakiwa uwe makini... Miaka mitatu si hapo wanakuwa wanakula wengine? By the time unaamua kuwa upo tayari; jamaa anakuta na kujilaumu kusubiri kote huku kumbe hakuna lolote maana after all huwa kuna tofauti kati ya watu na watu. Thou sisemi kuwa kushiriki mapema ni best option, walau iwe reasonable time with plausable reasons..
inatakiwa uwe makini... Miaka mitatu si hapo wanakuwa wanakula wengine?