Mtembea_peku
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 135
- 1
Wadau naomba mnisaidie modem ya kampuni ipi itanifaa ..zantel,sasatel,vodacom etc na iwe bora bt gharama nafuu kuimanage...nipen mawazo kesho nikachukue .
Toa Location yako kwanza ni muhimu,
Kwa sasa chukua Zantel.. ina good speed na ni cheap ukisubscribe bundles za highlife..2GB kwa 10,000 for seven days
Kama mwanza Zantel is ok and cheap.
2GB kwa sh 10,000 kwa matumizi ya siku saba ni nyingi sana kama hauna maumizi makubwa. Nakushauri uchukue modem za airtel kama huna matumizi makubwa.
Ni-PM nikuelekeze kuna jamaa anauza za Modem za Safari Com ya Kenya ambayo is unlocked kwa hiyo inaweza kutumiwa na Chip yeyote na hivyo kutokuwa limited na unakuwa na wide choice ya kuchagua utumie mtandao gani kulingana uimara wa mtandao katika sehemu husika!!! lakini hata Modem ya voda can be unlocked hebu mjaribu chizcomputer atakuelekeza!!!
Ni-PM nikuelekeze kuna jamaa anauza za Modem za Safari Com ya Kenya ambayo is unlocked kwa hiyo inaweza kutumiwa na Chip yeyote na hivyo kutokuwa limited na unakuwa na wide choice ya kuchagua utumie mtandao gani kulingana uimara wa mtandao katika sehemu husika!!! lakini hata Modem ya voda can be unlocked hebu mjaribu chizcomputer atakuelekeza!!!
wadau nashukuru kwa ushauri, nimechukua modem ya zantel iko fasta kweli muda wote..pia natumia browser opera mini 11.ni cost effective pia kama signal iko low ina boost signal kwa automatic turbo so mi mambo ya kuwa slow hayapo.downloads,uploads, youtube, live stream very clear na fasta,radio za kwenye internet kama nanawa..viva zantel modem...nipeni link tu nianze kuangalizia epl hapa.
wadau nashukuru kwa ushauri, nimechukua modem ya zantel iko fasta kweli muda wote..pia natumia browser opera mini 11.ni cost effective pia kama signal iko low ina boost signal kwa automatic turbo so mi mambo ya kuwa slow hayapo.downloads,uploads, youtube, live stream very clear na fasta,radio za kwenye internet kama nanawa..viva zantel modem...nipeni link tu nianze kuangalizia epl hapa.
Mkuu, Huyu yuko Dar?