heavensentious
Member
- Mar 1, 2015
- 43
- 41
- Thread starter
- #21
Asante mkuuKama ulivyosema NDOA yenu ni ya KANISA cha kufanya tafuta wataalamu wa saikolojia uwapatie wote ili waachane na hiyo tabia ambayo hata imani za kanisa haipendelei. Ikishindikana rudi kanisani na ushuhuda uliokamilika kanisa litajua la kufanya.