Mwasita Moja
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,904
- 2,580
Kumbe una hela nyingi hadi zingine unanywea pombe?Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.
Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.
(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.
Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Hongera maana bavicha wanalia kila kona hawana hela