Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Kumbe una hela nyingi hadi zingine unanywea pombe?
Hongera maana bavicha wanalia kila kona hawana hela
 
pole sana jamaa yangu.pombe inatesa sana na mimi ni muhanga,hapa nilipo na comment huku natoa lock na kili baridi.karibu toroka uje kimara hapa tupige mbili tatu huku tukijadiliana namna ya kujinasua.daah pombe jamani
emu nenda toroka uje mkajadiliane na jamaa jinsi ya kuacha huku mkipiga mbili tatu na mkuu Tobinho
 
Tafuta maziwa ya kondoo halafu uutwishe mtungi, ukishapendeza,, piga robo kikombe cha chai cha maziwa ya kondoo.
 
Mpaka unatetemeka umeshakuwa mtumwa wa pombe. Ni dalili mbaya ( alcoholik) fanya mazoezi na tafuta kitu mbadala unaposikia hamu ya pombe. Jiepushae kukaa na group la wanywaji, kuwa busy kidogo. Pendelea kunywa vitu vitamu.
 
pole sana jamaa yangu.pombe inatesa sana na mimi ni muhanga,hapa nilipo na comment huku natoa lock na kili baridi.karibu toroka uje kimara hapa tupige mbili tatu huku tukijadiliana namna ya kujinasua.daah pombe jamani
Aisee jamaa yangu hebu nambie kama bado uko hapo nije. Hapa Zebra pub naina friji lao halipoozi vizuri.

Aliyegundua bia Mungu ambariki sana. Inanisaidia sana wakati wa shida na raha...Nashangaa mtu anataka kuiacha eti.

Tunyweni pombe kwa afya zetu za akili na kwa maendeleo ya taifa.
 
Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Tatizo lako linaanza na ww, ww mwenyewe usinunue kiroba hata kama una hamu kivip. Na unafanya kazi gani na saa ngapi? Hela za kununua viroba unapata wapi? Zaidi uende "rehab"
 
wenzio tunatafuta pesa zaidi na zaidi ili tusiache pombe,wew unataka uache,punguza kwa wk jitahd kupata viroba kumi kwa cku mbili
Napenda sana pombe....Pombe nayo inanipenda....Tunapendana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom