Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Hivi hapa tunazungumzia pombe au kinywaji chenye kinywaji?
Mwenye mawani ya mbao aniazime ......au nimelewa??
Hivi hapa tunazungumzia pombe au kinywaji chenye kinywaji?
Nilikuwa na tatizo kama hilo. Siku hizi linapungua maana baada ya kazi muda unaofuata tu nakuwa humu jamvini. Siku JF ikikosekana sijui nitaokotwa wapi, nimeiacha chupa ya safari ikiwa na sura tofauti ila radha ya maji yake ni ileile!
MPUI LYAZUMBI : unatudanga kwanza hiyo ndo thread yako ya 6 afu unasema ulikuwa na tatizo kama hilo. Siku hizi linapungua kwa kuwa baada ya kazi muda unaofuata unakuwa humu jamvini.Sijui kama hiyo ni kweli ila kwa ushauri wangu kuacha pombe ni kuji tune saikolojikale
hongera kwa kuacha, lakini umeingia humu september kufuatilia uchaguzi, ila nakupongeza,
SULUHISHO LA KUACHA POMBE NI KUOKOKA TUU
wandugu natafuta dawa ya kuacha pombe jamani. Nisaidieni kila nikikumbuka ze pombe naamishia ofisi kaunta. Yaani ndugu nateseka sana. Halafu nikisha kunywa nahamasika sana na mchezo wa ule wakati watoto wamelala. Nifanyeje jamani?
Changanya mavi ya kuku ktk hiyo glass ya bia, konyagi, ama pombe yoyote unayokunywa. Kunywa na maliza kama glass mbili hivi na usisikilize ladha yake wakati unakunywa.
Baada ya nusu saa utatapika sana. Halafu baada ya hapo nakuapia ukionja pombe yoyote ile utatapika na hototamani kunywa aina yoyote ya pombe tena hadi mwisho wa maisha yako.
Dawa ya kuacha kunywa pombe ni KUACHA KUNYWA
Is this a joke?
kwa nini uache ? Punguza tu usiwe mlevi. Kama mwili unahitaji alcohol ukiunyima unauonea. Enjoy youself . Usipokinywa pombe utakunywa nini tena? Au maisha yatakuwa na faida gani. Sikushauri uache bali punguza .
Aisee Mlachake, ukiipata hiyo dawa naomba uniPM nami niijaribu.
Mi nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa.
Ngoja nikazimue kwanza.
Kuliwahi kuwa na Alcoholics Anonymous Dar es Salaam. Kama upo Dar, na hiyo AA bado ipo, jiunge nayo
Mkuu I'm more than serious!