- Thread starter
- #41
Mh.... ponoinabidi tulale wote niwe nakulinda
!!!
Mh.... ponoinabidi tulale wote niwe nakulinda
asante sana kwa ushauri wako,nami nitafanya hivyo.Kama unachosema ni kweli kuna dalili za ushirikina hivi ....
Inawezekana kuna mtu ameamua kukuchezea maana nilishawahi kusikia stori kama hizi na ilifikia mpaka mtu analazwa nje bila yeye mwenyewe kujijua!
Ni vyema utafute watumishi wa Mungu wakufanyie maombi. Pole!
mito nashukuru sana kwa ushauri wako,shida ni nyumba yangu mwenyewe ya kujenga,and nina miezi 3 toka nihamie,halafu sinadhuluma wala sinauhusiano na mme wala hawala wa mtu.ila naamini Mungu atanipigania kwa hili.muniombee dua mwenzenu.mpaka nyumba naiogopa.leo sitapata usingizi na mida ndo hiyo inakaribia.
asante sana.Kama wewe ni mkristo na unamwamini Mungu, omba kwa imani kabla ya kulala, pia lala na biblia kitandani na nyingine weka kwenye stuli/kigoda mlangoni. Pole sana mamajack, ni wanga tu hao wanakuja kukuchezea