MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,186
- 2,455
Wee naye kwa hiyo unaposema inabidi avunje kabisa na huyo.x wake na hapohapo amueleze mumewe kila kitu,unategemea baada ya huyo mme kuelezwa ndoa itaendelea tena?Kuna vitu watu wanakosea sana kabla ya kufunga ndoa?
Ushauri wangu hasa kwa wale mnaotarajia kufunga ndoa , Kabla hujafunga ndoa na umewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na watu tofautitofuti , unatakiwa kuvunja maagano hayo uliyoyafanya na hao ma ex wako, coz kila unapofanya mapenzi na mtu unakuwa umeingia nae mkataba , hii ni kiroho zaidi, Nirudi kwenye mada sasa.
Mtoa mada pamoja na hayo uliyosema unachotakiwa kufanya ni kuwa Open kwa mumeo, pia vunja agano lako na ma ex wako ili kuwa safe zaidi na asikusumbue tena, Kama hujaekewa ruksa kuuliza.