USHAURI: Nina million 20 nifanye biashara gani?

....Kabila lina ulazima? maana umetaja hapo marafiki zako watano 'Wachaga'! kama jamaa ni Msukuma ama Msambaa asije??:thinking:

Naamini jamaa amefanya utani hapo, hebu angalia hapo wanapokutana na siku wanayokutana pia na jina la meza wanayokutana. :smile-big::smile-big::smile-big:
 
m pm jamani kha!
mkuu, hongera kwa kubahatika, pili naomba ungejieleza upo wapi? una shughuli gani? una uzoefu gani? ulishawahi kufanya biashara yoyote? binafsi ulishawahi kuwa na mawazo gani ya biashara? unapenda nini? umeoa/ kuolewa? Upo tayari kufanya biashara ya ubia??? ....... amini kuwa BIASHARA YA KUFANYA INATEGEMEA MTU NA MTU NA MAZINGIRA ALIYONAYO, SI KILA ANACHOKIFANYA MWINGINE NA WEWE UTAWEZA AMA SI KILA ANACHOSHINDWA MWINGINE NA WEWE KITAKUSHINDA.

Swali la kizushi: unaweza kutueleza umekopa wapi hizo milioni 20 kwa mkopo wa mshahara na sisi tukakope??? Unarejesha kwa muda gani?? kwa riba gani???
 
Kaka unaesisitiza seriousness nimekukubali sana, unajua kweli kuna watu hawako serious kabisa na tusipoangalia wakenya na waganda watatupiga bao kweli kwenye EAC.. Ila tuwe na tumaini mana mwanajeshi anaekata tamaa ni vigumu kuishinda vita, but pple lets be real serious tunakwenda kwenye ushindani wa hali ya juu sasa so kama tutakuwa tunakopa bila kujua tunaenda kufanyia nini hizo pesa ndio kila siku zitakuwa zinaliwa DESI.

Mwana Jamii,
Mtumishi wa Bwana.
 
@komandoo: Mwisho, mkuu unawezaje kukopa kabla hujajua unaenda kufanyia nini? wewe ulikopa ili ukafanyie nini? make ni mzaha wa hali ya juu kwamba uliomba mkopo ila hukujua unaenda kufanyia nini,

mkuu hili ni swalila msingi sana.
me nlijua labda kashinda bahti na sibu au njia yoyote amabayo hakutegemea
the best thing to do is what is from you.
what yuo believe kitakutoa.
 
hii nikujikaza kiume. maana umefanya vizuri kuwa wazi biashara ningumu lakini biashara inahitaji uvumilivu na adabu
 
Back
Top Bottom