mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
....Kabila lina ulazima? maana umetaja hapo marafiki zako watano 'Wachaga'! kama jamaa ni Msukuma ama Msambaa asije??:thinking:
Naamini jamaa amefanya utani hapo, hebu angalia hapo wanapokutana na siku wanayokutana pia na jina la meza wanayokutana. :smile-big::smile-big::smile-big: