mkuu, hongera kwa kubahatika, pili naomba ungejieleza upo wapi? una shughuli gani? una uzoefu gani? ulishawahi kufanya biashara yoyote? binafsi ulishawahi kuwa na mawazo gani ya biashara? unapenda nini? umeoa/ kuolewa? Upo tayari kufanya biashara ya ubia??? ....... amini kuwa BIASHARA YA KUFANYA INATEGEMEA MTU NA MTU NA MAZINGIRA ALIYONAYO, SI KILA ANACHOKIFANYA MWINGINE NA WEWE UTAWEZA AMA SI KILA ANACHOSHINDWA MWINGINE NA WEWE KITAKUSHINDA.
Swali la kizushi: unaweza kutueleza umekopa wapi hizo milioni 20 kwa mkopo wa mshahara na sisi tukakope??? Unarejesha kwa muda gani?? kwa riba gani???
yenye uhakika na itanipa daily cashflow kwan nikiichezea narisk maisha ya mke na watoto 2,ni mkopo wa mshara kukatwa nusu
teh tehe tehe teh........Nimecheka sana..nunua gari mkuu
yenye uhakika na itanipa daily cashflow kwan nikiichezea narisk maisha ya mke na watoto 2,ni mkopo wa mshara kukatwa nusu
nimesoma mwanzo hadi threat ilipo, ninachokiona na kumuomba Mungu ni "Mwenyezi Mungu atusaidie sana Watz katika kuwa wabunifu, wajasiri/watu wa kuthubutu? watu wenye alternative thinking katika areas zote za maisha! siasa, uchumi, mpira, michezo,ujasiliamali nk.
kabla ya threat hii nimepitia moja ambayo mwanzishaji anaulizia jinsi ya kuazisha biashara/uchuuzi wa m-pesa na watu wamemwaga mawazo yao.
Kimsingi ukipia hii na hivo zingine utaona jinsi Watz tu watu wakutofikiri sana/kwa kina bali twapenda vitu vyepesivyepesi na upeo wetu ni narrow sana.
Mawazo yanayotolewa hapa zaidi ni jinsi gani ya kufanya uchuuzi na si jinsi ya kufanya udhalishaji wa kuongeza dhamani na hata kuweza kutoka nje ya mipaka ya nchi kama wenzetu wakenya wanavyofanya. Tz ama watz tulivyo hakuna hata benki moja ya tz ipo Burundi, rwanda ama kenya lakini wao waja nakutukuta bado tunaulizana tufanye nini?
May God help us!!!
yenye uhakika na itanipa daily cashflow kwan nikiichezea narisk maisha ya mke na watoto 2,ni mkopo wa mshara kukatwa nusu
Kama uko seriuos, mimi na marafiki zangu wachaga watano tuna biashara amabyo inalipa vizuri, ila huwa tunakutana pale Hongera Bar (DSM) kila siku ya Ijumaa kuanzia saa tisa mchan kupanga mikakati mipya, hivyo karibu sana Ijumaa hii ukifika ulizia Kaunta 'meza ya kama tulivyo' watakuonyesha. Iam serious.
Aisee watu makini hivi bado mnaishi hata nyakati hizi umenichana ukweli bila chenga sikutanii i will work on itOk ok. Hauna biashara nyingine inayo endelea vizuri uii expand? Kama jibu ni No. Wewe upo kazini, kwa hiyo huwezi kuwepo kwenye biashara muda mwingi. Therefore avoid, duka haina yeyote, muuzaji atakufilisi. taxi, bajaj dereva atajifaidi mwenyewe. Mkeo au mmeo kuiendesha biashara hiyo ya duka au taxi, bajaji dala dala nk. Ok, lakini uwe tayari kumsamehe kama atakuwa hana experience ya biashra...
Kama uko seriuos, mimi na marafiki zangu wachaga watano tuna biashara amabyo inalipa vizuri, ila huwa tunakutana pale Hongera Bar (DSM) kila siku ya Ijumaa kuanzia saa tisa mchan kupanga mikakati mipya, hivyo karibu sana Ijumaa hii ukifika ulizia Kaunta 'meza ya kama tulivyo' watakuonyesha. Iam serious.