- Thread starter
- #21
asantePole, kamuone dokta.
Natumaini utajifungua salama.
asantePole, kamuone dokta.
Natumaini utajifungua salama.
asanteNikiwa form three nilisoma kuwa moja ya aina ya abortion ni ile inayoruhusiwa na madakitari ili kunusuru afya ya mama. Kwa usalama wako kamuone Dr.
asanteHapo kamwone daktari hata kama ni kukutukana maana hata usipoenda saiv in near future lazima uende. Usisubiri mpaka hali iwe mbaya ndio uende unaweza ukapoteza maisha. The sooner the better
asante mamafivePole sana. kamuone daktari. Kamuone daktari haraka iwezekanavyo. Ila usijaribu kutoa maana ni laana na ni mauaji kwa mtoto asiye na hatia. Daktari anaweza kukushauri kupata muda wa kutosha kupumzika na kukufanyia upasuaji mtoto akishakomaa tumboni. Ila baada ya hapo ongeza uangalifu lisijirudie tena. Pole na Hongera sana.
Ooh ndio mana sema inamafuta,miaka mitatu wala sio tatizo utabeba salama tu,utajifungua salama ,mtoto ananafasi yakutosha kukua,pungiza kulakula vitu vya mafuta,jitahidi kujishugulisha ili mwili uwe na nguvu kidogo,fata utaratibu wa daktari,pole mpenziasante kwa ushauri, sijawai kujichubua, sema mimi ni mnene
asanteWe, kamuone daktari haraka saana tu. Hakuna daktari mwenye akili timamu atukanaye wagonjwa. Hizo ni hisia potofu. Tena usiende kwa mwingine, daktari wako anaujua udhaifu wako hivyo atajua la kufanya. Waweza kuamriwa hata kukaa karibu na hospitali kwa maangalizi zaidi ili upone
wilaya nyamagana, mkoa mwanzaUnaishi wapi na maanisha wilaya n mkoa!
asante kwa ushauri, ubarikiweOoh ndio mana sema inamafuta,miaka mitatu wala sio tatizo utabeba salama tu,utajifungua salama ,mtoto ananafasi yakutosha kukua,pungiza kulakula vitu vya mafuta,jitahidi kujishugulisha ili mwili uwe na nguvu kidogo,fata utaratibu wa daktari,pole mpenzi
wilaya nyamagana, mkoa mwanza
Mkuu mbona hayo majina uliyotaja kama ni ya kufikirika.Kama utaenda BMC unaweza muona Dr Rumanyika, Dr Bumodoka, Dr Mahendeka au Dr Ng'walida
Kama una noti nyingi muone Dr Kilonzo pale Mwanza Hospital mtaa wa Uhuru
Wapo wengi sana wanaoweza kukusaidia
Ujauzito ni baraka usihofu utapata ushauri na maelekezo. Nadhani tunaokushauri huu sio muda wa kukushambulia, itakuwa ni kukuongezea athari. Wengine wanafikiria kuplant wawe na watoto!
asante nduguKama utaenda BMC unaweza muona Dr Rumanyika, Dr Bumodoka, Dr Mahendeka au Dr Ng'walida
Kama una noti nyingi muone Dr Kilonzo pale Mwanza Hospital mtaa wa Uhuru
Wapo wengi sana wanaoweza kukusaidia
Ujauzito ni baraka usihofu utapata ushauri na maelekezo. Nadhani tunaokushauri huu sio muda wa kukushambulia, itakuwa ni kukuongezea athari. Wengine wanafikiria kuplant wawe na watoto!
Kwahiyo mimba imeingia bila ridhaa yako Dunia? Kitendo cha kuamua na kukubali kufanya mapenzi pasipo na njia za kujikinga na ujauzito wakati uliahaonywa hiyo ni ridhaa tosha. Labda useme ulifanya mapenzi pasipo ridhaa yako, hapo sawa.asante ubarikiwe. ukiwa hujapatwa na tatizo mtu unaweza kukomenti chochote maana hufeel chochote, lakini kumbuka muda mwingine tunakumbana na vitu ambavyo hatuvitaki na kuvipenda kwa wakati huo, lakini vinatupata bila ridhaa yetu! asante lakn
Mwachie Mungu kama ni mimba ya haki atakupigania, usije ukajaribu kuitoa au ukapokea ushauri wa namna hiyo...zaidi nakuombea
asanteKamuone Dr..Akikushauri kuitoa fanya hivyo
asante shostDaktari anaanzaje kukutukana kwa mfano bi shostito eeh!!?...nenda ukamuone kama ni professional yake hawezi kukutukana,.kutukanwa na uhai wako heri ni nini!??
Sipendi nikupoteze atii.....