The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 808
E-Fiscal DevicesWhat is EFD?
E-Fiscal DevicesWhat is EFD?
E-Fiscal Devices
Tumetumwa kukusanya MAPATOSasa we mangi ivi kuuza ka basikeli ka1 tu niwe na hiyo?
Kwa upande wa music system sony haina mpinzani.samsung hom theater ndo mpango mzima natumia hiyo bizaa mwaka wa 2 huu kitu bado kipya mkuu ila bajet yako czan kama itatosha
zipo inategemeana unataka ya ukubwa gani. home theater zinaanzia 2500kWewe ulibahatisha, maana hiyo bei ni ya DVD player peke yake.
Hahaaa mkuu utawaweza hawa watoto wanataka minara ya speaker sebureni.Kaka nakushauri nunua mziki wa pisi 5. Aina nzuri n Kenwood au Sony. Mimi nina Kenwood hatari kaka napiga hadi ktk visherehe vya mtaani. Kwa bajeti yako inatosha. Nichek pm
Da mkuu umenichekesha Sana, lakini mbona hatujazikia maafa huko kama ya tetemeko la ardhi, yaani sauti ya subuffer idondoshe nyumba,mimi sikushauri kununua samsung music. kiukweli samsung kwa upande wa music si wazuri. nenda kanunue SONY hawa wanamusic wa maana hasa. kuna radio alinunua mzee miaka kama 15 iliyopita mpaka sasa inapiga music achaa.... akigonga hadi mapigo yako ya moyo yana badilika yanaanza kufata mdundo wa wimbo unaopiga. kama upo ndani husikii sana ila jaribu kutoka nje ndo utasikia kitu kinavyogonga. kama ni nyumba haikujengwa imara unaweza kuta inapata ufa na baadaye kubomoka kabisa. na pia nliona PANASONIC wapo vizur na LG kwa Samsung mi napenda TV zao tu ila kwa music hawana kitu pamoja na bei zao kuwa juu lakini si kitu. ukiwa na mfuko mkubwa kanunue BOSE MUSIC SYSTEM.... Hii inatisha kabisa ni weka mbali na watu. inagonga kaka we acha tu asikwambie mtu ila ukinunua hii machine hakikisha haufungui sana sauti na usiweke bass ya sifa unaweza kuangukiwa na nyumba unayoish.
Weka picha yake, na ka gazeti ka tz ka udaku ili tuamini.Nimefanikiwa kupata kitu BOSE....aisee asikwambie mtu kitu. Hii kitu inagonga. Ni juzi juzi tu nlikuwa na kikao kwa mjumbe. Mtaani wameenda kulalamika kuwa nina ponda nyumba zao na kitu kizito wanashindwa kulala maana bati zao zinapiga kelele na kuta kutikisika. Nmemkatalia kabisa mjumbe hajaamini anahisi kuna vitu nafanya home illegal basi imebidi nimlete home akakagua akaenda kuwapa ujumbe kuwa hamna kitu.
Jumamosi mi najilia music wangu sina hili wala lile kaja mjumbe na wazee wawili wakagonga geti nkaenda kuwafungulia. Moja kwa moja wakaongoza ndani. Kufika wanaaanza kukagua kumbe wale wazee wameenda tena kumwambia mjumbe nagonga. Ndo wakagundua ni mziki.aiseee walishangaa sana. Wamesambaza habri mtaani kuwa napiga disco.sasa imekuwa shida nikipita nanyooshewa vidole. Mabint wanataka waje kusikilizia nyimbo zao kwangu... Matozi nao imekuwa shida na flash zao kila wakati wanataka waje wajaribu nyimbo zao kwangu.
BOSE ni balaah asikwambie mtu.inatisha hasa...hata hivyo nililetea zawadi na bro toka kwa mzee obama. Huu muziki ukifungua kwa saut kubwa unaweza sababisha tetemeko la ardhi kabisa. Cha ajabu wewe ukiwa ndani husikii sana. Hapo nashindwa kuelewa inakuaje
Weka picha yake, na ka gazeti ka tz ka udaku ili tuamini.
Vinginevyo hizo gia huwezi pata demu humu.
mimi sikushauri kununua samsung music. kiukweli samsung kwa upande wa music si wazuri. nenda kanunue SONY hawa wanamusic wa maana hasa. kuna radio alinunua mzee miaka kama 15 iliyopita mpaka sasa inapiga music achaa.... akigonga hadi mapigo yako ya moyo yana badilika yanaanza kufata mdundo wa wimbo unaopiga. kama upo ndani husikii sana ila jaribu kutoka nje ndo utasikia kitu kinavyogonga. kama ni nyumba haikujengwa imara unaweza kuta inapata ufa na baadaye kubomoka kabisa. na pia nliona PANASONIC wapo vizur na LG kwa Samsung mi napenda TV zao tu ila kwa music hawana kitu pamoja na bei zao kuwa juu lakini si kitu. ukiwa na mfuko mkubwa kanunue BOSE MUSIC SYSTEM.... Hii inatisha kabisa ni weka mbali na watu. inagonga kaka we acha tu asikwambie mtu ila ukinunua hii machine hakikisha haufungui sana sauti na usiweke bass ya sifa unaweza kuangukiwa na nyumba unayoish.
Nimefanikiwa kupata kitu BOSE....aisee asikwambie mtu kitu. Hii kitu inagonga. Ni juzi juzi tu nlikuwa na kikao kwa mjumbe. Mtaani wameenda kulalamika kuwa nina ponda nyumba zao na kitu kizito wanashindwa kulala maana bati zao zinapiga kelele na kuta kutikisika. Nmemkatalia kabisa mjumbe hajaamini anahisi kuna vitu nafanya home illegal basi imebidi nimlete home akakagua akaenda kuwapa ujumbe kuwa hamna kitu.
Jumamosi mi najilia music wangu sina hili wala lile kaja mjumbe na wazee wawili wakagonga geti nkaenda kuwafungulia. Moja kwa moja wakaongoza ndani. Kufika wanaaanza kukagua kumbe wale wazee wameenda tena kumwambia mjumbe nagonga. Ndo wakagundua ni mziki.aiseee walishangaa sana. Wamesambaza habri mtaani kuwa napiga disco.sasa imekuwa shida nikipita nanyooshewa vidole. Mabint wanataka waje kusikilizia nyimbo zao kwangu... Matozi nao imekuwa shida na flash zao kila wakati wanataka waje wajaribu nyimbo zao kwangu.
BOSE ni balaah asikwambie mtu.inatisha hasa...hata hivyo nililetea zawadi na bro toka kwa mzee obama. Huu muziki ukifungua kwa saut kubwa unaweza sababisha tetemeko la ardhi kabisa. Cha ajabu wewe ukiwa ndani husikii sana. Hapo nashindwa kuelewa inakuaje
Umeipata wapi mzee mi naitafuta