tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wadau baada ya kuchoshwa na saboofer za mchina nataka nijiongeze kidogo, maana kila mwaka nanunua mpya!!
Napendelea brand ya samsung, ila hata kama kuna nyingine nzuri sawa!! Nahitaji kujua bei zinaanzia kiasi gani na ubora wake pia!!
Bajeti niliyonayo ni 600k!!
Napendelea brand ya samsung, ila hata kama kuna nyingine nzuri sawa!! Nahitaji kujua bei zinaanzia kiasi gani na ubora wake pia!!
Bajeti niliyonayo ni 600k!!