Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
kuna jamaa mbeya namjua vyema
aligonganisha akawaacha madem
akawaambia"mi natoka anaejiona anastahili
kuwa na mm jioni nikirudi nimkute
kapika,kafua na kunyosha nguo"alivyorudi
jioni akakuta chakula mezani,nguo
zimenyosha na nyumba safi na madem wote
wapo,akawaambia"nani kafanya kazi hizi?"
wakajibu "wote tumefanya mwingine kapika
mwingine kafua,"akaawaambia"kuanzia leo
sitaki ugomvi wenu na naomba mjipangie
wenyewe zamu ya kulala na mimi"
aligonganisha akawaacha madem
akawaambia"mi natoka anaejiona anastahili
kuwa na mm jioni nikirudi nimkute
kapika,kafua na kunyosha nguo"alivyorudi
jioni akakuta chakula mezani,nguo
zimenyosha na nyumba safi na madem wote
wapo,akawaambia"nani kafanya kazi hizi?"
wakajibu "wote tumefanya mwingine kapika
mwingine kafua,"akaawaambia"kuanzia leo
sitaki ugomvi wenu na naomba mjipangie
wenyewe zamu ya kulala na mimi"