Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Habari wadau,
Nimejitokeza kwenu kuomba ushauri katika jambo hili linalonikwaza. Nimeingia katika Mahusiano na binti ambae alikuwa na mtu wake wa awali ambae walipanga kuja kufunga ndoa baadae.
Lakini wazazi wa binti washamwambia ukweli binti yao kwamba hataolewa na huyo jamaa. Na mimi nilivyomfuata binti akaniambia ukweli wote kwamba yupo mtu ila aliekataliwa kwao na akimwambia jamaa hataki kuelewa.
Binti amekubali kuwa na mimi ila mashaka yangu jamaa akirudi huko aliko kwani yuko mbali hataweza kuniibia?
Nawasilisha
Nimejitokeza kwenu kuomba ushauri katika jambo hili linalonikwaza. Nimeingia katika Mahusiano na binti ambae alikuwa na mtu wake wa awali ambae walipanga kuja kufunga ndoa baadae.
Lakini wazazi wa binti washamwambia ukweli binti yao kwamba hataolewa na huyo jamaa. Na mimi nilivyomfuata binti akaniambia ukweli wote kwamba yupo mtu ila aliekataliwa kwao na akimwambia jamaa hataki kuelewa.
Binti amekubali kuwa na mimi ila mashaka yangu jamaa akirudi huko aliko kwani yuko mbali hataweza kuniibia?
Nawasilisha