The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,253
- 42,870
jamani naombeni msaada,
mtoto wangu anasumbuliwa sana na kikohoz mara kwa mara na ana umri wa miaka miwili,nimempleka hosptal mbalimbali na kunywa dawa lakini hamna matumaini.mara ya mwisho nilielekezwa kwa dr.mmoja wa watoto kariakoo akaandikiwa sindano na dawa, cha ajab ni kua baada ya kumaliza doz tu, hali imerud kama zamani. asanten
Na wangu ana tatizo kama lako
Alikua akianza kukohoa hawezi kula ni kutapika hadi unamuonea huruma, tukampa dawa za kikohozi kinapungua kwa muda kisha kinarudi tena, akianza kukohoa usiku hamlali, afya ikazorota vibaya mno.
Kila tukifanya vipimo vya kifua wanasema kipo sawa, akalazwa Aga khan kwa uchunguzi zaidi hawakuona kitu, baadae wakasema ni pumu japo kifua hakibani wala hana shida ya kuhema.
Tuliishia kumpa dawa flan unachanganya na asali japo wanashauri uweke na yai bichi, imemsaidia kwa kweli namshukuru Mungu.