NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
anga vitunguu swaumu mpake ktk nyayo za miguu
Kuwa makini na dawa zinazopendekezwa. Miezi miwili iliyopita niliugua mafua na pua kuziba. Nilipowaona Hospitali nikaandikiwa dawa fulani hivi ya matone. Kweli ukiweka tone moja tu pua mwaaaaa zinazibuka . Lakini amini toka wakati huo sisikii/sinusi harufu yeyote. Nimepoteza uwezo wangu wa kunusa. Kabla nilikuwa sensitive sana kwa harufu lakini sasa hata harufu ipi siinusi!
mtoto alipona? Je alikuwa anakoroma usiku akiwa amelala?
wanapona baada ya muda wanaanza tena! kukoroma alikua anakoroma sana
sasa nenda hospital kubwa kama kcmc kapige xray ya kichwa.. naamini atakutwa na nyama za puani. hizi nyama za puani huwa zinaleta sana infection isiyoisha kwa watoto,... mafua wakati wote kikohozi n.k
Pole sana,kwa mara ya mwisho kumpatia dawa ya minyoo ni lini?jamani naombeni msaada,
mtoto wangu anasumbuliwa sana na kikohoz mara kwa mara na ana umri wa miaka miwili,nimempleka hosptal mbalimbali na kunywa dawa lakini hamna matumaini.mara ya mwisho nilielekezwa kwa dr.mmoja wa watoto kariakoo akaandikiwa sindano na dawa, cha ajab ni kua baada ya kumaliza doz tu, hali imerud kama zamani. asanten
Pole sana,kwa mara ya mwisho kumpatia dawa ya minyoo ni lini?
watoto wa umri huo kama hajanywa dawa ya minyoo muda mrefu
huwa ina tabia ya kufuata njia ya chakula hadi kooni na hapo huanza kumkereta
mtoto na kumsababishia kikohozi,unaweza kumaliza dawa zote za kifua usione matokeo mazuri.
Nakushauri mpime na minyoo au nunua dawa za watoto za minyoo,inaweza kumsaidia.
jamani naombeni msaada,
mtoto wangu anasumbuliwa sana na kikohoz mara kwa mara na ana umri wa miaka miwili,nimempleka hosptal mbalimbali na kunywa dawa lakini hamna matumaini.mara ya mwisho nilielekezwa kwa dr.mmoja wa watoto kariakoo akaandikiwa sindano na dawa, cha ajab ni kua baada ya kumaliza doz tu, hali imerud kama zamani. asanten