Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Ni dhahiri kuwa watanzani wengi wanapata matatizo mengi kwa kutokujua sheria.
Kwasasa sheria inafundishwa kwa wale tu wanaoenda kuifanyia biashara na si kwa matumizi ya kila siku.
Napenda kuishauri Wizara ya Elimu kuwe na somo la sheria ktk levo za chini. Ili imuwezeshe walau kila mtanzania ajue zile sheria ambazo ni basic.
Kama sheria inamhusu Mwananchi kwanini asijengewe mazingira ya kuijua kwa undani zaidi?. Kwanini watanzania tuishi kwa mazoea?.
Nipo tayari kurekebishwa. Nawasilisha wana jamvi.
Kwasasa sheria inafundishwa kwa wale tu wanaoenda kuifanyia biashara na si kwa matumizi ya kila siku.
Napenda kuishauri Wizara ya Elimu kuwe na somo la sheria ktk levo za chini. Ili imuwezeshe walau kila mtanzania ajue zile sheria ambazo ni basic.
Kama sheria inamhusu Mwananchi kwanini asijengewe mazingira ya kuijua kwa undani zaidi?. Kwanini watanzania tuishi kwa mazoea?.
Nipo tayari kurekebishwa. Nawasilisha wana jamvi.