USHAURI: Milioni 20 ya mkopo kipindi cha Magufuli, niwekeze kwenye nini?

Wadau nimepata kafursa ka kuvuta kama milioni 20 hivi kipindi kigumu hiki cha magu hadi wanaume tumeona sifa kujiita "wanaume suruali" ili tusinyoyolewe.

Nilikua naomba michango yenu ya mawazo proper investment ambayo naweza wekeza ili nitakapoanza kukatwa mlolongo wa makato kama mwanafunzi wa marekani..kuanzia loan board,paye,nssf,hako kamkopo ..nibaki na stress kwa mawazo kipindi kinachobaki

Natanguliza shukrani za dhati maana katika miaka yangu mitano ya uanachama jamiiforum haijawahi niangusha
Wewe dini gani? Unaishi wapi? Utaanza kurejesha lini mkopo?
 
Anzisha biashara ya pombe sehemu ya watu kias flan

Then isimamie vyema Nakuhakikishia ndani ya miezi 6 mpaka 8 Utakua umerudisha hiyo 20mln kama Faida.
 
UNANGOJA NINI KUINGIA NDANI YA HUU MPANGO?

Package hizi hapa NA malipo yake..
1. Bronze ...$307 paid $12.75 weekly
*Jiunge nayo kwa 675, 000/= utalipwa 28,000/=kwa wiki*.

2. Silver ...$561 paid $27.75 weekly
*Jiunge kwa kulipia 1,234,000/= utalipwa 61,000/= kila wiki*

3. Gold...$1070 paid $51 weekly
*Jiunge kwa 2,354,000/= utalipwa 112,000/= kila wiki*

4. Gold+ ...2086 paid $170 weekly
*Jiunge kwa 4,600,000/= utalipwa 374,000/= kila wiki*

Faida kwa kila package bila networking per month

1.Bronze= 12.75×4=51-50=$1 Poor profit per month
*faida ni 2,200/=*

2. Silver=27.75×4=111-50=$61 per month.. not much
*faida ni 134,000/=*

3. Gold=51×4=204-50=$154 per month Good profit
*Faida ni 338,000/=*

4.Gold+= 170×4=680-50=$630 per month.. Excellent profit
*Faida ni 1,386,000/=*

*NB:*
Keywords : rate $1=2,200/
-50? Ni ya service charges ac back-office yako ktk system.. Kwa maelezo .nicheki wasap au call 0625798455

Kama fedha hizo zimekujia ghafla zihifadhi benki jipe muda wa kutafakari ujue cha kufanya,washauri wengi ni waigizaji wasiofanya chochote zaidi ya hadithi za kusimuliwa.Kama umekopa umefanya kosa kubwa.Hutakiwi kukopa kabla ya kujua na kutathmini unachotaka kufanya.
Ni mtaji mzuri kama una wazo zuri lakini ni chanzo cha maumivu makali kama hujui cha kufanya.Jipe muda wa kutosha kutafakari.
 
Kama fedha hizo zimekujia ghafla zihifadhi benki jipe muda wa kutafakari ujue cha kufanya,washauri wengi ni waigizaji wasiofanya chochote zaidi ya hadithi za kusimuliwa.Kama umekopa umefanya kosa kubwa.Hutakiwi kukopa kabla ya kujua na kutathmini unachotaka kufanya.
Ni mtaji mzuri kama una wazo zuri lakini ni chanzo cha maumivu makali kama hujui cha kufanya.Jipe muda wa kutosha kutafakari.
ndo nnachofanya kiongozi...lakini wanasema uoga wako ndio umasikini wako..nmeweka kwenye hili gropu na kujaribu kuchambua chuya na mchele...Pesa bado sijachukua ila nna uwezo hata mda huu labda nkuulize weye mkuu "KAMA UMEPATA LEO MILLION 20 UTAIFANYIA NN"
 
Biashara yoyote ni Risk, yaani kuna hatari ya kupata hasara pia.
Kuwa na mtaji wa kipesa halafu kutafuta wazo la biashara hakutoi uhakika wowote wa kuweza kufanikiwa kibiashara, japokuwa ni jambo zuri na muhimu. Why? Biashara ni Ujuzi, Utundu, Uzoefu, Sanaa na Sayansi. Wazo la kibiashara linaweza kujibu hitaji la Kisayansi(Mbinu za kupata faida) katika biashara, lakini halijibu mahitaji hayo mengine manne ya Biashara.

USHAURI WANGU.
1/Kama una biashara yoyote ile ndogo unaifanya kwa sasa, basi tumia huo mtaji wa kipesa kuikuza zaidi.

2/Kama hujawahi kufanya biashara, basi anza kufanya biashara yenye mtaji mdogo sana ili kupata UJUZI, UTUNDU, UZOEFU na USANII katika biashara. Usiogope kupata hasara katika hili, na ili kuepuka maumivu, mtaji wake uwe mdogo sana.

3/Kwa mazingira yaliyopo sasa hapa Tanzania, sio wakati mzuri sana wa kuwekeza pesa zako kwenye Biashara yenye kuhitaji mzunguko mkubwa wa kuuza na kununua.(Wafanyabiashara wengi kwa sasa wanalia sana), njia nyepesi kabisaa kwa sasa ni kulinda mtaji wako wa kipesa kwa kuwekeza kwenye Real Estate(Viwanja na Nyumba). Hakuna namna tena, ndio mahali salama zaidi pakukimbilia.
Kwa mtaji wa Milioni 20, Unaweza kupata Viwanja hata Vitatu(ukubwa wa Mita 20X20) maeneo ya pembezoni mwa jiji la Dar, Arusha na Mwanza.
Kwa mikoa mingine unaweza kupata zaidi ya hapo.
Ama unaweza kununua shamba la Miti michanga lenye ukubwa wa Ekari zaidi ya Tano katika mikoa ya Iringa na Njombe. Utavuna miti baada ya miaka Minne au zaidi. Faida yake ni kubwa sana(Mara mbili au Tatu ya mtaji uliouweka).

Ni hayo tu kwa leo......

mkuu usiwadanganye wenzio bhana hakuna sehemu yenye viwanja ghali kama moshimna arusha ukikuta mtu arusha anakaa nyumban kwakwe huyu sio mtu mdogo Arusha mzuko wa hela ni mdogo alaf maisha yako juu sana ina fanya vitu vingine vinakuwa ghal mil 20 kwa maeneo ya kwa mrefu atapata kiwanja ila 20/20 sio zaid labda aende kwa mrombo ila ttz la kule ni mbal na mji
 
Sasa mzee unaanzaje kuchukua mihela halafu hujui ufanyie nn kwl! Kulikua na umuhim gan ww kukopa?
 
Biashara yoyote ni Risk, yaani kuna hatari ya kupata hasara pia.
Kuwa na mtaji wa kipesa halafu kutafuta wazo la biashara hakutoi uhakika wowote wa kuweza kufanikiwa kibiashara, japokuwa ni jambo zuri na muhimu. Why? Biashara ni Ujuzi, Utundu, Uzoefu, Sanaa na Sayansi. Wazo la kibiashara linaweza kujibu hitaji la Kisayansi(Mbinu za kupata faida) katika biashara, lakini halijibu mahitaji hayo mengine manne ya Biashara.

USHAURI WANGU.
1/Kama una biashara yoyote ile ndogo unaifanya kwa sasa, basi tumia huo mtaji wa kipesa kuikuza zaidi.

2/Kama hujawahi kufanya biashara, basi anza kufanya biashara yenye mtaji mdogo sana ili kupata UJUZI, UTUNDU, UZOEFU na USANII katika biashara. Usiogope kupata hasara katika hili, na ili kuepuka maumivu, mtaji wake uwe mdogo sana.

3/Kwa mazingira yaliyopo sasa hapa Tanzania, sio wakati mzuri sana wa kuwekeza pesa zako kwenye Biashara yenye kuhitaji mzunguko mkubwa wa kuuza na kununua.(Wafanyabiashara wengi kwa sasa wanalia sana), njia nyepesi kabisaa kwa sasa ni kulinda mtaji wako wa kipesa kwa kuwekeza kwenye Real Estate(Viwanja na Nyumba). Hakuna namna tena, ndio mahali salama zaidi pakukimbilia.
Kwa mtaji wa Milioni 20, Unaweza kupata Viwanja hata Vitatu(ukubwa wa Mita 20X20) maeneo ya pembezoni mwa jiji la Dar, Arusha na Mwanza.
Kwa mikoa mingine unaweza kupata zaidi ya hapo.
Ama unaweza kununua shamba la Miti michanga lenye ukubwa wa Ekari zaidi ya Tano katika mikoa ya Iringa na Njombe. Utavuna miti baada ya miaka Minne au zaidi. Faida yake ni kubwa sana(Mara mbili au Tatu ya mtaji uliouweka).

Ni hayo tu kwa leo......
Asante sana mkuu umetema Cheche za hatari sana.mwenye maskio na asikie.
 
Sasa mzee unaanzaje kuchukua mihela halafu hujui ufanyie nn kwl! Kulikua na umuhim gan ww kukopa?
boss coment zote hizo hujajifunza kitu....Hili ni swala ambalo kijana yoyote anaweza pitia badala ya kucriticize kwann usitoe mchanganuo wako tuone twasonga vipi
 
Nakumbuka siku moja usiku, nilikuta kuna mama mmoja mjasiriamali nilikuta anaahojiwa kwenye TV(steshen nimeisahau) yule mama akasema alianzia na mtaji wa milioni5 na hadi hv sasa Ana bilioni3, alifungua mradi wa kusaga nafaka.
 
ningekuwa mimi kwa mazingira ninayo maji ni ya shida na ardhini yapo mengi dumu la maji ni sh 500 maji safi, ya chumvi ni 300 hivyo basi ningechimba kisima cha maji na pia kwa hela hiyo hiyo ningejenga low cost greenhouse,hili nilime hoho na nyanya kipindi cha mvua kubwa yaani masika
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wadau nimepata kafursa ka kuvuta kama milioni 20 hivi kipindi kigumu hiki cha magu hadi wanaume tumeona sifa kujiita "wanaume suruali" ili tusinyoyolewe.

Nilikua naomba michango yenu ya mawazo proper investment ambayo naweza wekeza ili nitakapoanza kukatwa mlolongo wa makato kama mwanafunzi wa marekani..kuanzia loan board,paye,nssf,hako kamkopo ..nibaki na stress kwa mawazo kipindi kinachobaki

Natanguliza shukrani za dhati maana katika miaka yangu mitano ya uanachama jamiiforum haijawahi niangusha
MADINI NA HASA DHAHABU
Utatumia mil. 18 kama principal capital. Utanunua dhahabu kwa tsh 60,000 kwa gram. Hivyo utapata gram 3000 sawa na kilo tatu. Kwa bei ya mauzo Dar ni 70,000 kwa gram. Namaanisha fanya biashara ya faida ya elfu kumi. Kwa gram zako 3000 ni faida ya mil.30. Na trip ya kikazi hata kama itakuchukua muda sana ni wiki 3.

Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii namba yangu ni 0786187408
 
MADINI NA HASA DHAHABU
Utatumia mil. 18 kama principal capital. Utanunua dhahabu kwa tsh 60,000 kwa gram. Hivyo utapata gram 3000 sawa na kilo tatu. Kwa bei ya mauzo Dar ni 70,000 kwa gram. Namaanisha fanya biashara ya faida ya elfu kumi. Kwa gram zako 3000 ni faida ya mil.30. Na trip ya kikazi hata kama itakuchukua muda sana ni wiki 3.

Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii namba yangu ni 0786187408
Marekebisho
Kwa Mil 18 utapata gram 300. Kwa hiyo kila trip utatengeneza mil. 3.
0786187408
 
unaweza specify "meinkampf" ah ah bodaboda,bajaji basi au? vp kuhusu ufuatiliaji..sababu mi kinachonnibana ni mda mzee...vp kuhusu real estate..nikiwekeza kwe kanyumba hivi nna kiwanja cha mzee katikati ya mji
Real estate kwa 20m mkuu?
Kwa Mimi wa mkoani hizo 20m ningewekeza kwenye spare used za magari. Inalipa hii biashara balaa.
 
ningekuwa mimi kwa mazingira ninayo maji ni ya shida na ardhini yapo mengi dumu la maji ni sh 500 maji safi, ya chumvi ni 300 hivyo basi ningechimba kisima cha maji na pia kwa hela hiyo hiyo ningejenga low cost greenhouse,hili nilime hoho na nyanya kipindi cha mvua kubwa yaani masika
mama amechimba ksima cha maji mjini kabisaa maji masafiii..lakini kwe mazingira yetu ngumu kupata kwa 500 so anauza 200 ambayo amount yote mara nyingi huishia kwe kulipia umeme wa mota..labda hoho sijajua sana
 
Back
Top Bottom