Ushauri: Meshack Nzowa wa MagicFM jiandae kabla ya kufanya kipindi

Wasikilizeni na watangazaji wa PRAISE POWER FM ile radio ya mama mbeba maono wanaotangaza kipindi cha magazetini saa 07:30AM mpate uhondo yani kama walifika la 12 Darasa bac kazi ipo

Yani wale ndio ***** tu
Hata mada zao hawajui kupangilia.
Kwa kifupi pale hakuna waangazaji kaweka wapiga porojo wasiojitambua
 
Heri ya Meshack Nzowa ana afadhali na akili timamu kuliko Gerard Hando wa radio ya wafu anayefanya mambo kama kichaa. Ni vizuri kumkosoa mtu akikosea bahati mbaya kama Nzowa but Hando anakosea makusudi na kujifanya insane. All in all waandishi wa nchi hii ni wavivu sana kujisomea, amazingly hawajui mambo mengi sana.

huyu gerald hando....kuna siku nilimwona live....daa jamaaa ana sura mbayaaaaaaaaa.........yani hata sio handsome:flypig:
 
hahahaaaaa!

baadhi ya watangazaji ninaowaheshimu sana kwa kazi zao

  1. Masoud Kipanya (wa timesfm) - huyu jamaa anajua sana!
  2. Anorld Kayanda (wa clouds)
  3. Fina Mango (wa magic)
  4. Sebo (wa magic)
  5. Michael (wa magic)
  6. Fadhili Haule (wa capital radio)



hawa wote......hawamfikiiiiii
1.arhony joseph......................wapo radio huyu jamaa anajua sana
2.rita chuwalo......wapo radio mpo juuu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom